Habari zenu nataka nimnunulie mama yangu simu kama zawadi ya birthday nimeandaa budget ya laki mbili mpka mbili na nusu naomba mnishauri ni simu gani nzuri
Ukizingatia muonekano na camera nzuri maana ni mfanya biashara wa mitandaoni nahitaji kumpa simu yenye camera nzuri.
Shukran napitia comment
Ukizingatia muonekano na camera nzuri maana ni mfanya biashara wa mitandaoni nahitaji kumpa simu yenye camera nzuri.
Shukran napitia comment