Mafuta ya korosho
Mungu atalipa tu huu uonevu.Jibu alilolipata ni kupotezwa tu.... Hayakuwahi kujibiwa
Mpo tu kutetea kila kitu utazani mmesetiwa kama mashine ya kutetea kila kitu!Kaziyenu kupinga lolote linalofanywa na jpm....msidhani wananchi hawaoni...huu ujingawenu ndo utawahukumu 2020
Nyinyi mnao hojiwa lakini mnawapoteza wanaohoji Mungu anawaona mwisho wenu utakuwa mbaya sana yetu machoKaziyenu kupinga lolote linalofanywa na jpm....msidhani wananchi hawaoni...huu ujingawenu ndo utawahukumu 2020
Hapo ondoa neno kutetea weka neno kupinga.. alafu jipime kama unatosha ndani ya hilo boxMpo tu kutetea kila kitu utazani mmesetiwa kama mashine ya kutetea kila kitu!
Hizi laana mnazo vuna kwa watanzania hazitowaacha hata mkikesha kwenye nyumba za ibada kuact kama mnavyofanyaHapo ondoa neno kutetea weka neno kupinga.. alafu jipime kama unatosha ndani ya hilo box
Kwa hiyo anapofanya mabaya tuyafurahie tu? Na hao wananchi unaosema wanaona nini wanachoona?Kaziyenu kupinga lolote linalofanywa na jpm....msidhani wananchi hawaoni...huu ujingawenu ndo utawahukumu 2020
Anayayoyafanya now na kuyakosea ni damu alizomwaga zinamlilia.Kama hayakuwahi kujibiwa,wao wanapata wapi uhalali wa kuhukumu wengine?
Kwa haya yanayoendelea nina hakika tungekuwa na wabunge au wanasiasa aina ya Julius Malema,swala hili sasa lingeibuliwa upya either ndani ya Bunge au hata nje ya Bunge.
Tusisahau charity begins at home.
Watanzania ni watu wapole sana nchi zingine huwezi fanya mambo kama haya wakaacha kukuanika wewe mwenyewe na wasaidizi wako wote.