For the first time in my life nilielewa Bible kupitia huyu Mwalimu, Mungu ambariki sana huyu baba,anajua kudeliver mafundisho,hata uwe slow learner utaelewa tuu,so calm,hana masifa wala kuponda watu,hahubiri dini, anahubiri maarifa ya kwenye Biblia,sio selfish mana kwa kipawa kile ashasema wazi hana mpango wa kufungua kanisa mana sio wito wake
Mungu amjalie maisha marefu tuendelee kujifunza
Sipati picha angeanzisha kanisa aisee,ningehamia huko asubuhi tuu..