kelvin Brown
Member
- Aug 10, 2012
- 7
- 0
hallow wana jf hongereeni sana mliopata loan pamoja na mliokosa tumshukuru mungu,kikubwa ni kwamba tunaenda kupambana na kipi tulichokibakisha,mimi nilitamani kusoma pharmacy hapo mwanzo lakini tcu wallinipeleka bs of science in chemistry hapo udsm,moyoni bado nataman pharmacy je nitaweza kuisoma tena miaka ijayo?je kuna uhusiano wowote kati ya hiyo course niliyopangiwa na pharmacy?asanteni