Habari wanajamii Mimi ni mwanafunzi wa mambo ya programming sasa naombeni ushauri nimetengeneza full system ya medical store ambayo unaweza kuuzia dawa
Kati ya faida ambazo unaweza kupata katika system hii ni kukusaidia kama duka lako linpata faida au la,kukumbusha kutoa dawa zilo expire.Sasa Mimi sijui kama MTU akihitaj nimuuzie sh ngapi,wenye uzoefu nisaidieni nimetumia visual c#
Kati ya faida ambazo unaweza kupata katika system hii ni kukusaidia kama duka lako linpata faida au la,kukumbusha kutoa dawa zilo expire.Sasa Mimi sijui kama MTU akihitaj nimuuzie sh ngapi,wenye uzoefu nisaidieni nimetumia visual c#