Mbona naskia TFDA ajira zipo apo VIP mkuu???Kasome clinical... Pharmacy mpaka upate bachelor ndio utaenjoy maisha lkn kwa diploma hautakuwa na tofaut na nesi... Pharmacy itakufaa kama unampango wa kuunganisha mpka bachelor otherwise piga clinical
Kwaiyo zinagawiwaje sijaelewa mkuuNdio zipo ila hazigawiwi kama pipi
Zinagawiwa kama chumvi
Zote ni course zinazo lenga KUOKOA MAISHA YA MTU.Nataka kusoma chuo cha afya kwa level ya diploma hivyo kozi gani INA maslahi makubwa na mazuri kuzidi nyingine pale intakapo maliza msaada wakuu
Nimekusoma mkuuZote ni course zinazo lenga KUOKOA MAISHA YA MTU.
hivyo zote ni NZURI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Me naona pharmacy mkuuKalime matikiti ndo yana maslahi kama unataka maslahi ila kama unataka shule mpaka unajaza kuna moja kichwani mwako uliona ni bora sikiliza moyo wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kwa m2 alepata ufaulu wa daraja la 3 mwenye C ya Chemistry na D the rest subjects ana qualifications za kusoma diploma ya clinical mkuu?Kasome clinical... Pharmacy mpaka upate bachelor ndio utaenjoy maisha lkn kwa diploma hautakuwa na tofaut na nesi... Pharmacy itakufaa kama unampango wa kuunganisha mpka bachelor otherwise piga clinical
Go for it mkuu, kila kitu kina changamoto zake hakikisha unachofanya unakipenda na hakika changamoto zake utaziweza
Kwa certificate unasoma tu coz wanahitaji D nne katka phy, chem, biol, and engli but mathe is additional advantageNa kwa m2 alepata ufaulu wa daraja la 3 mwenye C ya Chemistry na D the rest subjects ana qualifications za kusoma diploma ya clinical mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
PAMOJA mkuu!
AmeeenPAMOJA mkuu!
Usiweke maslahi yako (PESA) mbilele.......
Weka UHAI wetu kwanza hayo mengine yafuate,
Na utabarikiwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aminia sana mkubwaPAMOJA mkuu!
Usiweke maslahi yako (PESA) mbilele.......
Weka UHAI wetu kwanza hayo mengine yafuate,
Na utabarikiwa!
Sent using Jamii Forums mobile app