Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,509
- 6,862
Basi sawa!Hakuna kiwanda cha magari ya Peugeot Kenya, na wala hakuna kiwanda cha magari ya Mercedes Benz Rwanda. Usitulete uongo hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi sawa!Hakuna kiwanda cha magari ya Peugeot Kenya, na wala hakuna kiwanda cha magari ya Mercedes Benz Rwanda. Usitulete uongo hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
What about Watutsi wa Burundi?Naona wahutu wa Burundi wanapitisha mapanga tu hapo bandarini.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hizo ni propaganda za uongo za wazungu ili wazidi kuitumia kenya kujinufaisha wakati wakenya wanabaki Maskini. Kiuhalisia wakenya maisha ni shida wanufaika ni wachache wanaokuja na kuondoka na mafisadi wa Kenya. Kenya inetumika kama meeting place ya biashara watu wanafanya biashara wanaondoka inabaki tupu. Mfano halisia juzi kuna biashara imeshindwa kufanyika Nairobi yule mwenyeji wa Kenya ambae ni Dalali aliishia na stori tu nikamwambia sisi tunataka ela hatutaki stori.mwisho wa siku nikajiuliza hii ndiyo Nairobi inasifiwa eti ni mojawapo ya centre ya biashara Africa nikabaki nacheka. Muingereza aliipendelea kenya lakini imeshindwa kutumia Fursa wakenya wavivu.
Ardhi yote nzuri ya Kenya wamechukua mafisadi,viongozi wachache , wazungu na Wahindi tu.
Wakenya wengi wamebaki bure .
Uchumi wa Kenya umeshikiliwa na wachache.
Soko la Gari Mpya(Zero milage) Kenya ni asilimia 5% . Sababu kubwa ni bei..VW walijaribu na VW polo assembly lakini bei ni 1.6M na gari lenyewe afadhali probox..
ksh 1.6M uko na toyota markX ama subaru Outback ya kuagizwa toka Japan..
Gari mpya hununuliwa na Serikali na makampuni,kwa hivyo shirika la Peugeot lipo tu hapa kushindania kandarasi na pesa za serikali, hawako hapa kwa masilahi ya wateja wa magari au wananchi kwa jumla
Attractive for who when 75% of working kenyans earn 50k and below?When and if the age of imported cars is lowered again, they will get more expensive.
Local cars will get more attractive.
What about Watutsi wa Burundi?
Hao si ndio tumesema wanapitishaga mavyuma vyuma ya VW kupitia bandari yetu.Vipi wahutu wa Rwanda
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nmesema kinajengwa ..bado ..tunasubir..Na sisi tuta tuna Hyundai Daewoo. Weka picha punguza hadithi Tz_one
Hao si ndio tumesema wanapitishaga mavyuma vyuma ya VW kupitia bandari yetu.
Attractive for who when 75% of working kenyans earn 50k and below?
Aisee ndugu wewe ni analyst bab kubwa shule ya economy uliyopata umeitendea haki kabisaSoko la Gari Mpya(Zero milage) Kenya ni asilimia 5% . Sababu kubwa ni bei..VW walijaribu na VW polo assembly lakini bei ni 1.6M na gari lenyewe afadhali probox..
ksh 1.6M uko na toyota markX ama subaru Outback ya kuagizwa toka Japan..
Gari mpya hununuliwa na Serikali na makampuni,kwa hivyo shirika la Peugeot lipo tu hapa kushindania kandarasi na pesa za serikali, hawako hapa kwa masilahi ya wateja wa magari au wananchi kwa jumla
Nairobi nilikuja 1987/1988Pole so kumbe propaganda na hadithi za vijoweni ndio unajua tu. Bure kabisa wewe., tembea ishi Kenya kisha utoe maoni.
Sent using Jamii Forums mobile app