Yenga08
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 464
- 891
Habari zenu wana janvi.,
Wenye kujua nini tatizo watujuze, maana kwa baadhi ya sehemu huku kanda ya Ziwa hususani sehemu za pembezoni na mjini Petrol na Diseli zimeadimika sana siku ya tatu leo.
Kuna baadhi ya Petrol station zimefunga hakuna mafuta. Kuna Petrol station moja inauza mafuta yasiyozidi kiasi cha 2000 tu, hata ukimwambia niwekee ya laki hakubali.
Wahusika wa hizi mambo fuatilieni maana vijiweni mpaka 4000 wanauza kwa lita moja ya petrol.
Wenye kujua nini tatizo watujuze, maana kwa baadhi ya sehemu huku kanda ya Ziwa hususani sehemu za pembezoni na mjini Petrol na Diseli zimeadimika sana siku ya tatu leo.
Kuna baadhi ya Petrol station zimefunga hakuna mafuta. Kuna Petrol station moja inauza mafuta yasiyozidi kiasi cha 2000 tu, hata ukimwambia niwekee ya laki hakubali.
Wahusika wa hizi mambo fuatilieni maana vijiweni mpaka 4000 wanauza kwa lita moja ya petrol.