Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Lazima nirudi.duuh c utarudi mida or?
Nalog off
Lazima nirudi.duuh c utarudi mida or?
Halki ya Mungu yesu ni noumer
teh...we ulidhani haki ni yanani? kama si MUNGU
chezea msosHaahhahha watu wanapenda msosi acha tu hhahahh
mikate isiyotiwa chachu na divai mpya!chezea msos
hahahhaah me nawaza yuda alivofadhaika siku hyo,sijui bifu ndo lilianzia hapo?Cpati picha ankle yohona alikuaje ,nadhani hata pindi halikuingia mkichwa duh! Jesus !
umelog off mazmaLazima nirudi.
Nalog off
hahahhaah me nawaza yuda alivofadhaika siku hyo,sijui bifu ndo lilianzia hapo?
nipo hapa.umelog off mazma
teh...kwiinimecheka mno
mkuu hapo nimepunguza au kuongeza nini?Weka utani kote lakini sio katika neno la mungu,biblia inasema ni Ole wake apunguzaye au aongezaye neno katika maneno yake aliye juu!
Weka utani kote lakini sio katika neno la mungu,biblia inasema ni Ole wake apunguzaye au aongezaye neno katika maneno yake aliye juu!