KoreaKaskazini
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 219
- 51
Alikua muuza poda South akarudigi na virand kadhaa, siku za mwanzo kalisumbua mjini.pene lilivyokata kakaomba ukimbizi kwa madame mbunye.
Diiiiiiiih.....madam mbunye??
Alikua muuza poda South akarudigi na virand kadhaa, siku za mwanzo kalisumbua mjini.pene lilivyokata kakaomba ukimbizi kwa madame mbunye.
aiseee.....ndiyo maana wadada wakitembea na wazaire wamekwisha habari yao....
hiyo dawa inapatikana na kwa wanawake....(utani)
Lupungu ni dawa wanatumia wazaire.wananyunyiza kwenye uume kama unanyuyiza chumvi kwenye chips.kipigo utakachopata baada ya hapo hutakisahau mpaka unaingia kaburini.ndio maana wazaire wengi wanalelewa mjini kwa mtaji wa Lupungu
Lupungu ni dawa wanatumia wazaire.wananyunyiza kwenye uume kama unanyuyiza chumvi kwenye chips.kipigo utakachopata baada ya hapo hutakisahau mpaka unaingia kaburini.ndio maana wazaire wengi wanalelewa mjini kwa mtaji wa Lupungu
Heeee nae Vanessa mambo mengi eeeh?
Mdogo wa vanesa bwana , awezi kumla vanes miaka 100
Yaan mi mume wangu afatane fatane na mwanamke mwingine kazi wanayoifanya haijulikani aiseeee Daimond amekula hasaraaaaa
weka picha mkuu,tafadhaliYule mzaire.kazi yake ni kumuunganisha wema na vibosile.Si unaona BMW lile la wema kahongwa na mzaire.sifa nyingine jamaa ni mtumiaji mzuri sana wa Lupungu hadi dadake rais amedata.Rais aligoma kabisa kumuozesha,lakini dada kasema nisipoolewa na petit najiua..chezea Lupungu wewe
petit kiboko yaoKwa mashabiki wa Madam Wema Sepetu watakua wanampata vyema huyu kijana. Mwanzoni nilianza kumsikia sana kwenye nyimbo za wasanii kama Dully, Tundaman, ferouz. Hapo nikagundua huyu mtu ni maarufu, ila sasa mwenzenu sielewi umaarufu wake unatokana na nini hapa mjini. Kwa anayemfahamu please anipe details!
Halafu wana miguu ya watoto,wamejaaliwaLupungu ninii kabombe[/QUOT
Mkuu lupungu ni dawa ya mapenzi wanatumia wazaire.ikigusa urithi wa bibi tu mwanamke anakuwa kama kapatwa na degedege! Pia mzaire hashuki mpaka masaa mawili yapite!
Hakuna cha dawa wala nini,wacongo wamejaaliwa maumbile ya kiume,na wanajua kuyatumiaHiyo Lupumbu ntaipataje bladha?
Hakuna cha dawa wala nini,wacongo wamejaaliwa maumbile ya kiume,na wanajua kuyatumia