hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,312
- 73,136
Duhh !!! Atakunywa mtu sumu
Duhh !!! Atakunywa mtu sumu
Ni kweli -- namjua zari tangu mwaka 2010 wakati huo alikuwa anapewa kick kuwa ndiye mwanamke mwenye pesa kuliko wanawake wote EaZari kaanza muziki kashinda tuzo Cha chanel 0, Diamond bado hajatoka
Tatizo wengi mmemjua Zari baada ya Diamond na Instagram kupata umaarufu
BAK hii English yako braza imeenda shuleDP was very wrong to discuss this issue in public. DP keep your dirty laundries in closets. Zari is the mother of your beautiful kids you need to show respect to her otherwise this negative attitude towards Zari will destroy your credibility and reputation and damage your product (sales of your shows and music around the World) Just take a high road apologies to both and move on with your life.

BAK hii English yako braza imeenda shule![]()