Peter Mutharika: Ziwa Malawi ni letu, hakuna umiliki wa pamoja, lazima tulinde mali yetu

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
FB_IMG_1490814962127.jpg

Rais wa Malawi Peter Mutharika ametangaza kuwa hakuna nchi ambazo zinamiliki kwa pamoja Ziwa Nyasa na kwamba hajafikia makubaliano na nchi yoyote, hivyo ameahidi kulinda umiliki na maslahi yake.

Je, kwa uonavyo wewe ili ziwa ni la wapi ?

1. Tanzania
2. Malawi
3. Tanzania na Malawi

Source eatv
 
View attachment 488578
Rais wa Malawi Peter Mutharika ametangaza kuwa hakuna nchi ambazo zinamiliki kwa pamoja Ziwa Nyasa na kwamba hajafikia makubaliano na nchi yoyote, hivyo ameahidi kulinda umiliki na maslahi yake.

Je, kwa uonavyo wewe ili ziwa ni la wapi ?

1. Tanzania
2. Malawi
3. Tanzania na Malawi

Source eatv
I wish I could be CDF......
 
Nchi zetu zilitawaliwa na ujerumani (tanganyika) na uingereza(Malawi )

Wakoloni walichora Ramani hizi wakazitumia kuonyesha mipaka yao(mambo ya Berlin Conference

Hata baada ya ujerumani kunyanganywa Tanganyika baada ya vita ya kwanza ya dunia,Tanganyika iliwekwa chini ya usimamizi wa uingereza(proctorate )

Makabidhiano yote haya lazima yaambatane na Ramani ya kinachokabidhiwa

Mfano,wakati wa mkutano wa Berlin kuigawa afrika,mjerumani alitawala tanganyika,muingereza akatawala Malawi,mahasimu hawa wasingekaa jirani kiasi hicho bila Ramani

Baada ya Tanganyika kuwekwa chini ya usimamizi wa uingereza,Ramani zilizoongoza Umoja wa mataifa kipindi hicho kuikabidhi tanganyika kwa muingereza ni zipi?

Wakati wa Uhuru,nchi ipi ilianza kupata Uhuru,ilikabidhiwa Ramani ipi na inasemaje kuhusu ziwa Nyasa.

Umoja wa mataifa lazima una nyaraka zote,ofisi za nchi za uingereza na ujerumani zilizojihusisha na makoloni zina Ramani na mikataba yote ya kiutawala ya makoloni
 
Nchi zetu zilitawaliwa na ujerumani (tanganyika) na uingereza(Malawi )

Wakoloni walichora Ramani hizi wakazitumia kuonyesha mipaka yao(mambo ya Berlin Conference

Hata baada ya ujerumani kunyanganywa Tanganyika baada ya vita ya kwanza ya dunia,Tanganyika iliwekwa chini ya usimamizi wa uingereza(proctorate )

Makabidhiano yote haya lazima yaambatane na Ramani ya kinachokabidhiwa

Mfano,wakati wa mkutano wa Berlin kuigawa afrika,mjerumani alitawala tanganyika,muingereza akatawala Malawi,mahasimu hawa wasingekaa jirani kiasi hicho bila Ramani

Baada ya Tanganyika kuwekwa chini ya usimamizi wa uingereza,Ramani zilizoongoza Umoja wa mataifa kipindi hicho kuikabidhi tanganyika kwa muingereza ni zipi?

Wakati wa Uhuru,nchi ipi ilianza kupata Uhuru,ilikabidhiwa Ramani ipi na inasemaje kuhusu ziwa Nyasa.

Umoja wa mataifa lazima una nyaraka zote,ofisi za nchi za uingereza na ujerumani zilizojihusisha na makoloni zina Ramani na mikataba yote ya kiutawala ya makoloni
Sijakuelewa
 
Naangalia mgogoro huu kama kuna kitu nyumaa! Malawi sio wajinga kuna wqtu nyuma yao hawataki utawala huu! Unaweza kuona tutachapika vizuri tuu ! Ukute kuna nchi kibao nyuma ya malawi! So wakati mwingine ukichokozwa inabidi uangalie mara mbili mbili kuna nani nyumaa! Anaweza kaja mtu kukupiga ukadhani yupo peke yake kumbe wapo wengi
 
Back
Top Bottom