Peter Msigwa: We were liberated only to be captured again

Peter Msigwa: We were liberated only to be captured again

anazungumzia yanayoendelea Libya,hongera sana Msigwa kwa kufuatilia na yanayoendelea kimataifa maana wewe ni waziri kivuli wa mambo ya nje...endelea kufuatilia yanayojiri huko uweze kusaidia taifa.
 
Msigwa bado ni kijana mdogo na ni mpuuzi sana. Hajui aongealo.
Ndio useme kipi ambacho hajui ila anakiongea??? Kwa mtazamo wako je kuna faida ya kusherekea uhuru kma kuna mtu anapigika na maisha kma enzi za ukoloni mfano anaishi chini ya dola moja, anashindia mlo mmoja kwa cku n.k
 
Ndio useme kipi ambacho hajui ila anakiongea??? Kwa mtazamo wako je kuna faida ya kusherekea uhuru kma kuna mtu anapigika na maisha kma enzi za ukoloni mfano anaishi chini ya dola moja, anashindia mlo mmoja kwa cku n.k
Na wewe nawe una mawazo ya kitumwa tu.
 
Na wewe nawe una mawazo ya kitumwa tu.
Utumwa upi wakati nmeshakuwa liberated kutoka utumwa wa chama cha mapinduzi ambacho kimetufikisha hapa tulipo vijana kibao mitaani hawana ajira na serikali haina nia ya kuwatafutia incentives wala kuformalise informal sector ili ziweze kuajiri vijana wengi wamekalia kununua mapangaboi!!!!! Sasa mimi na ww nani mtumwa??? Mnahaidiwa maisha bora mwaka wa 15 sasa hamuhoji waliishia wapi ila mnaaminishwa uchumi wa viwanda unakuja

Watumwa at ur best
 
Uhuru wa kutoa mawazo hutafutwa ndani ya Taifa huru lilo pata uhuru toka kwa mkoloni.
 
Great bro Msingwa kwani misumari yako yote kwa CCM huwahaisahauliki. Nani atakusahau uliposema " Akili ndogo hawezi ongoza akili kubwa"?
 
Back
Top Bottom