Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
*NITAWATAJA MASHOGA HAWA*
Jamii yetu inapinga ushoga kwasababu moja tu ya msingi - ushoga ni kinyume cha maadili, sheria na ustaarabu wa nchi. Kwa msingi huo, Shoga hana tofauti na mwizi, muongo, muuaji, mlevi, mlafi, mzinzi na dikteta! Wote wanafanya mambo mabaya sana, ya aibu sana na yasiyokubalika.
Shoga hana tofauti na mtu anayetumia madaraka vibaya kuiba mali za umma, kula rushwa, kuonea watu, kuteka na kuua watu na kudhibiti uhuru wa watu.
Shoga hana tofauti yoyote ya msingi na mtu anayesigina katiba na asiyeheshimu utawala wa sheria, mwenye kiburi na majivuno ya kufanya atakavyo.
Hawa wote wanafanya mambo ya kishoga, yenye athari ile ile ya kuwa kinyume cha maadili, sheria na ustaarabu wa nchi. Na mambo yote hayo ni chukizo mbele za Mungu.
Hawa wote wamepungukiwa utukufu wa Mungu, na wanahitaji Neema yake!
Kwa hiyo, wakati tukiburuzwa tuwachukie mashoga wa maumbile, jinsia na tabia, tunapaswa kujua kuwa hata hawa wanaosigina Katiba, wasioheshimu utawala wa sheria, wanaoteka, kutesa na kuua watu, na wanaodhibiti uhuru wa kujieleza, kutoa maoni, kukosoa pamoja na kuminya uhuru wa vyombo vya habari, nao pia ni mashoga. Wanachofanya ni chukizo mbele za Mungu.
*Tofauti yao ni moja tu, mashoga hawa wameamua kuwa vinara wa kuhukumu mashoga wenzao*
Imeandikwa, usihukumu kabla ya kuhukumiwa.
Which ground are you standing to judge others
“Do not judge, or you too will be judged. For in the same way you judge others, you will be judged, and with the measure you use, it will be measured to you!
Ushoga ni zaidi ya kutenda ngono kinyume cha jinsia au kinyume cha maumbile, ushoga ni kwenda kinyume na maadili, sheria na ustaarabu.
*Mchezo wa kuhukumu na kutajataja wanaodaiwa kuwa mashoga wa kijinsia na kimaumbile ukizidi, na Mimi nitawataja kwa majina Mashoga wanaofanya udikteta, kusigina Katiba na kuonea watu*
Peter Msigwa
MP for Iringa Urban.
Jamii yetu inapinga ushoga kwasababu moja tu ya msingi - ushoga ni kinyume cha maadili, sheria na ustaarabu wa nchi. Kwa msingi huo, Shoga hana tofauti na mwizi, muongo, muuaji, mlevi, mlafi, mzinzi na dikteta! Wote wanafanya mambo mabaya sana, ya aibu sana na yasiyokubalika.
Shoga hana tofauti na mtu anayetumia madaraka vibaya kuiba mali za umma, kula rushwa, kuonea watu, kuteka na kuua watu na kudhibiti uhuru wa watu.
Shoga hana tofauti yoyote ya msingi na mtu anayesigina katiba na asiyeheshimu utawala wa sheria, mwenye kiburi na majivuno ya kufanya atakavyo.
Hawa wote wanafanya mambo ya kishoga, yenye athari ile ile ya kuwa kinyume cha maadili, sheria na ustaarabu wa nchi. Na mambo yote hayo ni chukizo mbele za Mungu.
Hawa wote wamepungukiwa utukufu wa Mungu, na wanahitaji Neema yake!
Kwa hiyo, wakati tukiburuzwa tuwachukie mashoga wa maumbile, jinsia na tabia, tunapaswa kujua kuwa hata hawa wanaosigina Katiba, wasioheshimu utawala wa sheria, wanaoteka, kutesa na kuua watu, na wanaodhibiti uhuru wa kujieleza, kutoa maoni, kukosoa pamoja na kuminya uhuru wa vyombo vya habari, nao pia ni mashoga. Wanachofanya ni chukizo mbele za Mungu.
*Tofauti yao ni moja tu, mashoga hawa wameamua kuwa vinara wa kuhukumu mashoga wenzao*
Imeandikwa, usihukumu kabla ya kuhukumiwa.
Which ground are you standing to judge others
“Do not judge, or you too will be judged. For in the same way you judge others, you will be judged, and with the measure you use, it will be measured to you!
Ushoga ni zaidi ya kutenda ngono kinyume cha jinsia au kinyume cha maumbile, ushoga ni kwenda kinyume na maadili, sheria na ustaarabu.
*Mchezo wa kuhukumu na kutajataja wanaodaiwa kuwa mashoga wa kijinsia na kimaumbile ukizidi, na Mimi nitawataja kwa majina Mashoga wanaofanya udikteta, kusigina Katiba na kuonea watu*
Peter Msigwa
MP for Iringa Urban.