kumbe na nyie mnanunua ya nini kuepelka flash Takukuru?Wabunge wa ccm mbona waliwahi kulipwa ili kupitisha muswada kandamizi ! Tutatumia mbinu zilezile tu .
kumbe na nyie mnanunua ya nini kuepelka flash Takukuru?Wabunge wa ccm mbona waliwahi kulipwa ili kupitisha muswada kandamizi ! Tutatumia mbinu zilezile tu .
Good move.
Japo sababu haijatajwa,sihitaji kuijua maana mpaka sasa teyari ziko nyingi ila zilikuwa hazifanyiwi kazi.
Tatizo wabunge wa chama fulani watakwamisha tu.
Matusi ya nini jengo hoja,kariabu bunge kweli,leo hii kama mwananchi wa kawaida cjui kinacho endelea bunge live no,kodi zetu kwaniniHakuna wa kumuondoa Ndungai atawanyosha mpaka mnye mavi pumbavuuuu au na wewe msigwa umeanza picha za kihindi za Nassari , Chadema Wabunge 36 CCM wabunge 215 inawezekana vipi hapo? Kama nyinyi CHADEMA mnajeuri mbona mlishindwa kuwapitisha Wenje, Masha na Salum Mwalimu wawe wabunge was East Africa. CHAGADEMA mnapenda propaganda za kisenge Pumbavuuuuuu
Ndo hzo yaanMhe Msigwa utaishia kufungiwa mwaka mzima.
kumbe na nyie mnanunua ya nini kuepelka flash Takukuru?
Sasa hilo nalo ni tatizo kwani Mchungaji Msigwa alipashwa pia atoe na sababu yake / hoja yake juu ya huo uamuzi wake ili tuone ni mzuri au mbaya kuliko alivyofanya hivi sasa kutuacha tu juu juu. Huyu Mchunguzi siku za karibuni ameanza ' Kukengeuka / Kupotoka / Kukosea ' mno sijui kwanini.
Una ushahidi? Acha fununu.Wabunge wa ccm mbona waliwahi kulipwa ili kupitisha muswada kandamizi ! Tutatumia mbinu zilezile tu .
Ndiyo nini?Ndo hzo yaan
kwani huwezi kutoa machango wako bila kutukana ni aibu kwa mtu mzima kutukanaHakuna wa kumuondoa Ndungai atawanyosha mpaka mnye mavi pumbavuuuu au na wewe msigwa umeanza picha za kihindi za Nassari , Chadema Wabunge 36 CCM wabunge 215 inawezekana vipi hapo? Kama nyinyi CHADEMA mnajeuri mbona mlishindwa kuwapitisha Wenje, Masha na Salum Mwalimu wawe wabunge was East Africa. CHAGADEMA mnapenda propaganda za kisenge Pumbavuuuuuu
Kwahiyo unataka kutuambia rais Magufuli anapotaka kuifanya Tanzania ya viwanda anahangaika bure kwa vile anajua hatofanikiwa. Msigwa atapeleka hoja zake kama kamati itaona hana hoja itamweleza kwa maandishi.Anangaika bure atofanikiwa na yeye Msigwa analijua ilo atofanikiwa ila wanasiasa wa Tanzania wanapenda sana kutokea FrontPage.
Uzito wa hoja ndiyo tegemeo lake.Sasa kama hana support na vile vile hajali kama atapata support, amesuka nini kama sio kujipotezea muda