Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,036
- 3,929
Kupitia ukurasa wake wa Istagram Mbunge wa Iringa Mjini Peter Msigwa ameelezea kusudio lake la kuwasilisha hoja ya kumuondoa Spika Job Ndugai.
Mhe. Msigwa anaandika;
"Ninakusudia kupeleka hoja ya kumuondoa Spika wa binge la jamhuri ya muungano Tanzania mh . Job Ndungai , kwa kuzingatia Kanuni ya 137 Ya kanuni za kudumu za bunge ina complement ibara ya 84(7) (d) ya katiba."
Mhe. Msigwa anaandika;
"Ninakusudia kupeleka hoja ya kumuondoa Spika wa binge la jamhuri ya muungano Tanzania mh . Job Ndungai , kwa kuzingatia Kanuni ya 137 Ya kanuni za kudumu za bunge ina complement ibara ya 84(7) (d) ya katiba."