Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,435
- 1,967
Mi nimekisikiliza. Mchungaji anajikanyaga tu. Kwanza hapo anatetea maslahi yake ooh sisis tulipoenda sijui wapi tukajifunza sijui nini. Pumba tupu. Kuna mtu kamopa live moaka mchungaji akanywea ohhh mimi sipingi vyote vya Mh. Magufuli. Kwa ujumla kaongea pumba tupu!