sidhani kama litakuwepo lamaana zaidi, maongezi yatakua kisiasa zaidi, ningeshauri kuwepo nawatuwaliosomea na wenye uzoefu wa mauhusia ya kimataifa.
hawa wanasiasa hawawezi wakachambua mambo yao wenyewe, hapo tunashindwa sana tz.
tuwatumie wataalam wetu,
jambo limitendwa na mwana ccm unataka aeleze/achambue chadema unategemea nini.......
umewasahau Lowasa, Sumaye maana hao nao ni zao la ccm, chadema tulikosea sana kumuchukua Lowasa ndo maana tukiulizwa juu ya lowasa tunakosa point ya kujibu..ccm ni chama cha kulea na kukuza wezi baadh yao wanahama sitashangaa sana siku chadema wakimpokea ChengeJibu la haraka haraka tu basi ni kwamba Mafisadi ni Chenge, Muhongo, Tibaijuka wamerudi bungeni! Mpinga ufisadi Kafulila hayuko Bungeni!
Kama haeleweki umeelewaje kuwa anatafuta kiki?huyu mbona haeleweki anaongea kwa kutafuta kiki
mwambie huyoooheshimu madaraka , waziri kivuli si wa cdm ni wa Tanzania
Umesema sawa kabisa! Sijui kipi wanachotaka. Waliosema Rais hatakwenda nje ni nani? Ataenda lakini kwa sasa anashughulikia mambo ya ndani kwanza!After all, Peter msigwa ni useless lot. Rais kukaa nchini akashughulikia matatizo yetu ni muhimu sana. Foreign relations baadaye. Misaada wanayo tupatia ina masharti ovyo. na haitoki. Mcc K. M. wameisha tafuta visababu uchwara kuchelewesha mkopo wao. Kadiri tutakavyoachana na misaada ya wafadhili, Itakuwa bora sana kwetu. JPM yuko sahihi 100%.
Cdm baada ya kuzika hoja ya ufisadi wanatafuta hoja kuonekana wapo kazini. Msigwa is useless!
Kwa hiyo Magu alipo acha ualimu na kwenda bungeni ilikuwa ni tamaa ya hela?mchungaji anapenda sana kuonekana kwenye media na anapenda sana sifa na kudharau taaluma za watu huku tamaa ya hela ilimfanya aachie kazi ya uchungaji na kua mwanaharakati bungeni
Eeh Mungu aante kumuonyesha Mh. Magufuli njia na matokeo yake anakuwa mkombozi wa waTanzania. Wanaoguswa kimaslahi, majizi na mafisadi yataguswa, Mungu azidi kukupa nguvu Neema na uvumilivu maaana nguc=vu wanayotunmia mafisadi ni hatari sana!Kwa hiyo Magu alipo acha ualimu na kwenda bungeni ilikuwa ni tamaa ya hela?
Hakuna taaluma ya uanasiasa isiyoambatana na taaluma nyingine. Labda wanasiasa kama Msukuma wasio soma na wafanyayo tuna ona madhara yake, ni ujinga tuu