Peter Kibatala ni Wakili au Mwanaharakati?

Peter Kibatala ni Wakili au Mwanaharakati?

Irene17

Member
Joined
Feb 8, 2025
Posts
42
Reaction score
115
Mimi sio Mwanasheria wala Mwanadiplomasia lakini juzi nimestushwa sana na andiko la Wakili ambaye anatajwa kuwa Mweledi sana wa Sheria Wakili Peter Kibatala,kuhusu Kesi ya Ndugu Tundu Antipas Lissu,andiko ambalo alipost kupitia mtandao wa X zamani Twitter!

Katika andiko hilo Wakili Peter Kibatala ameibua hoja kadhaa lakini mimi nataka kumpeleka "Shule" kidogo katika baadhi ya hoja zake ambazo ni wazi amejiingiza "Chaka"yeye na anataka pia kuwaingiza "Chaka" Mabalozi wa nje waliopo Tanzania pamoja na VIONGOZI WA DINI!

HOJA ZAKE KUHUSU KESI YA TUNDU LISSU ZILIKUWA HIZI HAPA👇🏿👇🏿

Anaandika Wakili Peter Kibatala 👇🏿👇🏿

1.Tomorrow 22nd April 2025,I will officially write to the Embassies of Diplomatic Corps in Tanzania inviting their Officers to attend Mr Lissu's case and witness Tanzania justice at play!

Kwa kiswahili rahisi ni kwamba Wakili Kibatala amepanga kuwandikia Mabalozi wa Nje waliopo Nchini Tanzania kuja kusikiliza KESI ya Ndugu Tundu Lissu na kuona jinsi mifumo ya Kutoa Haki ya Tanzania inavyofanya KAZI!

Majibu:
Wakili Peter Kibatala inaonekana hajui kabisa taratibu za Kimawasiliano kati ya Balozi na host Country!

Kikanuni,Raia hana mamlaka wala ruhusa ya kuwasiliana Officially na Balozi yoyote yule bila kupitia Wizara ya Mambo ya NJE na Ushirikiano wa Afrika Mashariki!Chochote atakachoandika Wakili Peter Kibatala kitakuwa hakina maana wala sio Official Communication(Viena Convention on Diplomatic Relations,1961)inaonekana Wakili Peter Kibatala haijui kabisa haya!

Pili,Viena Convention on Diplomatic Relations ya mwaka (1961) "outlines legal framework for Diplomatic mission-(I)termination of Diplomatic Relations"!

Kwa TAFSIRI rahisi ni kwamba Viena Convention kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia kati ya Nchi na Nchi,inaambatanisha majukumu(duties)ya Mabalozi katika Nchi walizopo(Host State).

Wajibu namba moja wa Balozi ni KUHESHIMU Sheria na kanuni za Nchi husika hata wakati wakitekeleza majukumu yao!Pili, Majukumu ya Balozi wa Nje hayapaswi kwa njia yoyote ile kuingilia kabisa mambo ya ndani ya Taifa husika!

Lakini nanukuu hapa"all Official business with the host State should be conducted through the Ministry of Foreign Affairs!Wakili Peter Kibatala aende akasome Viena Convention on Diplomatic Relations 1961,on Persona Non Grata!

Mwisho Wakili Peter Kibatala aende akasome kitu kinaitwa (HGO) kwa maana ya kanuni kwa Mabalozi wanapokuwa ndani ya mipaka ya Host Government!

II.Hoja ya Pili Wakili Peter anaandika👇🏿👇🏿

"I will write also to Heads of all major religion dominations and Institutions to invite for the same cause!

Majibu:
WAKILI Peter Kibatala anataka kuwaingiza Viongozi wa dini kwenye malengo ya kuitisha Mahakama ya Tanzania wakati inafanya majukumu yake!Uwepo Mahakamani wa Viongozi wa dini hauwezi kwa namna yoyote ile kupindisha Sheria za Nchi kwa maana ya kutaka kumsaidia Ndugu Tundu Antipas Lissu apate au asipate haki!Mchezo huu ambao Wakili Peter anataka kuufanya wa kuitisha Mahakama umepitwa na wakati sana!

Ni muhimu Wakili Peter Kibatala angetumia muda wake mwingi kujiandaa kumtetea ndugu Tundu Lissu na kuishawishi Mahakama ya Tanzania kuliko kukimbia jukumu hilo la Kiwakili na kujivika "Uwanaharakati" mbele ya Mahakama hivyo kushusha sana CV yake mbele ya Mahakama ya Tanzania!

Kiongozi yoyote wa dini ambaye atakwenda Mahakamani kisa Ndugu Tundu Antipas Lissu amepelekwa Mahakamani leo atatafsiriwa na Watanzania kuwa tayari ana upande wake na ana maslahi yake katika kesi hii zaidi ya yale ya upatikanaji wa HAKI mbele ya Sheria!

Sina uhakika kama Viongozi wa dini wa Nchi hii wanaweza kufanya "UPUUZI " huu ambao hawajawahi kuufanya wakati wowote wa Uhai wa Kanisa wala Uhai wa Msikiti wa Tanzania!

III.Wakili Peter Kibatala anaadika tena👇🏿👇🏿

" We want Tundu Lissu to be tried in full public view!

Majibu:Tangia lini Wakili Peter Kibatala ameanza kuishinikiza Mahakama ya Tanzania juu ya "modarity" ya kusikiliza kesi?Wakili Peter Kibatala amekuwa na kesi nyingi sana ndani ya Mahakama ya Tanzania lakini hakuna wakati wowote mahali popote amewahi kuishinikiza Mahakama kusikiliza kesi kwa mtindo wa (I) Physical Mahakamani au (II)Mahakama Mtandao ambapo kesi uendeshwa wakati mtuhumiwa yupo Magereza!

Mahakama ya Tanzania inaweza ikaona inafaa kuendesha kesi hiyo kwa mtindo wa Mahakama Mtandao!!Wakili Peter anasema jaribio kama hilo la Mahakama litakumbana na "stiff legal resistance" kutoka kwake na mteja wake!

Itoshe kusema Wakili Peter Kibatala anajua kabisa kuwa jaribio lolote la kuifanya Mahakama kuwa na "pressure" ni KOSA la kimaadili mbele ya taratibu za kiapo cha Mawakili!Anachotaka kukifanya Wakili Peter Kibatala sio tu ni ukosefu wa Maadili ya Uwakili na heshima kwa Mahakama zetu bali pia ni KOSA la Kimaadili kushinikiza/kushawishi Ushiriki wa watu waje Mahakamani

Sifa/heshima za Wakili Peter Kibatala zimeingia doa kubwa mbele ya macho ya Watanzania!

Ngoja tuone kama Mabalozi na Viongozi wa dini "watacomply" na "UNYAMBISI"huu wa viwango vya juu kabisa!
 
Mimi sio Mwanasheria wala Mwanadiplomasia lakini juzi nimestushwa sana na andiko la Wakili ambaye anatajwa kuwa Mweledi sana wa Sheria Wakili Peter Kibatala,kuhusu Kesi ya Ndugu Tundu Antipas Lissu,andiko ambalo alipost kupitia mtandao wa X zamani Twitter!

Katika andiko hilo Wakili Peter Kibatala ameibua hoja kadhaa lakini mimi nataka kumpeleka "Shule" kidogo katika baadhi ya hoja zake ambazo ni wazi amejiingiza "Chaka"yeye na anataka pia kuwaingiza "Chaka" Mabalozi wa nje waliopo Tanzania pamoja na VIONGOZI WA DINI!

HOJA ZAKE KUHUSU KESI YA TUNDU LISSU ZILIKUWA HIZI HAPA👇🏿👇🏿

Anaandika Wakili Peter Kibatala 👇🏿👇🏿

1.Tomorrow 22nd April 2025,I will officially write to the Embassies of Diplomatic Corps in Tanzania inviting their Officers to attend Mr Lissu's case and witness Tanzania justice at play!

Kwa kiswahili rahisi ni kwamba Wakili Kibatala amepanga kuwandikia Mabalozi wa Nje waliopo Nchini Tanzania kuja kusikiliza KESI ya Ndugu Tundu Lissu na kuona jinsi mifumo ya Kutoa Haki ya Tanzania inavyofanya KAZI!

Majibu:
Wakili Peter Kibatala inaonekana hajui kabisa taratibu za Kimawasiliano kati ya Balozi na host Country!

Kikanuni,Raia hana mamlaka wala ruhusa ya kuwasiliana Officially na Balozi yoyote yule bila kupitia Wizara ya Mambo ya NJE na Ushirikiano wa Afrika Mashariki!Chochote atakachoandika Wakili Peter Kibatala kitakuwa hakina maana wala sio Official Communication(Viena Convention on Diplomatic Relations,1961)inaonekana Wakili Peter Kibatala haijui kabisa haya!

Pili,Viena Convention on Diplomatic Relations ya mwaka (1961) "outlines legal framework for Diplomatic mission-(I)termination of Diplomatic Relations"!

Kwa TAFSIRI rahisi ni kwamba Viena Convention kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia kati ya Nchi na Nchi,inaambatanisha majukumu(duties)ya Mabalozi katika Nchi walizopo(Host State).

Wajibu namba moja wa Balozi ni KUHESHIMU Sheria na kanuni za Nchi husika hata wakati wakitekeleza majukumu yao!Pili, Majukumu ya Balozi wa Nje hayapaswi kwa njia yoyote ile kuingilia kabisa mambo ya ndani ya Taifa husika!

Lakini nanukuu hapa"all Official business with the host State should be conducted through the Ministry of Foreign Affairs!Wakili Peter Kibatala aende akasome Viena Convention on Diplomatic Relations 1961,on Persona Non Grata!

Mwisho Wakili Peter Kibatala aende akasome kitu kinaitwa (HGO) kwa maana ya kanuni kwa Mabalozi wanapokuwa ndani ya mipaka ya Host Government!

II.Hoja ya Pili Wakili Peter anaandika👇🏿👇🏿

"I will write also to Heads of all major religion dominations and Institutions to invite for the same cause!

Majibu:
WAKILI Peter Kibatala anataka kuwaingiza Viongozi wa dini kwenye malengo ya kuitisha Mahakama ya Tanzania wakati inafanya majukumu yake!Uwepo Mahakamani wa Viongozi wa dini hauwezi kwa namna yoyote ile kupindisha Sheria za Nchi kwa maana ya kutaka kumsaidia Ndugu Tundu Antipas Lissu apate au asipate haki!Mchezo huu ambao Wakili Peter anataka kuufanya wa kuitisha Mahakama umepitwa na wakati sana!

Ni muhimu Wakili Peter Kibatala angetumia muda wake mwingi kujiandaa kumtetea ndugu Tundu Lissu na kuishawishi Mahakama ya Tanzania kuliko kukimbia jukumu hilo la Kiwakili na kujivika "Uwanaharakati" mbele ya Mahakama hivyo kushusha sana CV yake mbele ya Mahakama ya Tanzania!

Kiongozi yoyote wa dini ambaye atakwenda Mahakamani kisa Ndugu Tundu Antipas Lissu amepelekwa Mahakamani leo atatafsiriwa na Watanzania kuwa tayari ana upande wake na ana maslahi yake katika kesi hii zaidi ya yale ya upatikanaji wa HAKI mbele ya Sheria!

Sina uhakika kama Viongozi wa dini wa Nchi hii wanaweza kufanya "UPUUZI " huu ambao hawajawahi kuufanya wakati wowote wa Uhai wa Kanisa wala Uhai wa Msikiti wa Tanzania!

III.Wakili Peter Kibatala anaadika tena👇🏿👇🏿

" We want Tundu Lissu to be tried in full public view!

Majibu:Tangia lini Wakili Peter Kibatala ameanza kuishinikiza Mahakama ya Tanzania juu ya "modarity" ya kusikiliza kesi?Wakili Peter Kibatala amekuwa na kesi nyingi sana ndani ya Mahakama ya Tanzania lakini hakuna wakati wowote mahali popote amewahi kuishinikiza Mahakama kusikiliza kesi kwa mtindo wa (I) Physical Mahakamani au (II)Mahakama Mtandao ambapo kesi uendeshwa wakati mtuhumiwa yupo Magereza!

Mahakama ya Tanzania inaweza ikaona inafaa kuendesha kesi hiyo kwa mtindo wa Mahakama Mtandao!!Wakili Peter anasema jaribio kama hilo la Mahakama litakumbana na "stiff legal resistance" kutoka kwake na mteja wake!

Itoshe kusema Wakili Peter Kibatala anajua kabisa kuwa jaribio lolote la kuifanya Mahakama kuwa na "pressure" ni KOSA la kimaadili mbele ya taratibu za kiapo cha Mawakili!Anachotaka kukifanya Wakili Peter Kibatala sio tu ni ukosefu wa Maadili ya Uwakili na heshima kwa Mahakama zetu bali pia ni KOSA la Kimaadili kushinikiza/kushawishi Ushiriki wa watu waje Mahakamani

Sifa/heshima za Wakili Peter Kibatala zimeingia doa kubwa mbele ya macho ya Watanzania!

Ngoja tuone kama Mabalozi na Viongozi wa dini "watacomply" na "UNYAMBISI"huu wa viwango vya juu kabisa!
Wewe umeandika siasa humu na zaidi kiushabiki
 
Mimi sio Mwanasheria wala Mwanadiplomasia lakini juzi nimestushwa sana na andiko la Wakili ambaye anatajwa kuwa Mweledi sana wa Sheria Wakili Peter Kibatala,kuhusu Kesi ya Ndugu Tundu Antipas Lissu,andiko ambalo alipost kupitia mtandao wa X zamani Twitter!

Katika andiko hilo Wakili Peter Kibatala ameibua hoja kadhaa lakini mimi nataka kumpeleka "Shule" kidogo katika baadhi ya hoja zake ambazo ni wazi amejiingiza "Chaka"yeye na anataka pia kuwaingiza "Chaka" Mabalozi wa nje waliopo Tanzania pamoja na VIONGOZI WA DINI!

HOJA ZAKE KUHUSU KESI YA TUNDU LISSU ZILIKUWA HIZI HAPA👇🏿👇🏿

Anaandika Wakili Peter Kibatala 👇🏿👇🏿

1.Tomorrow 22nd April 2025,I will officially write to the Embassies of Diplomatic Corps in Tanzania inviting their Officers to attend Mr Lissu's case and witness Tanzania justice at play!

Kwa kiswahili rahisi ni kwamba Wakili Kibatala amepanga kuwandikia Mabalozi wa Nje waliopo Nchini Tanzania kuja kusikiliza KESI ya Ndugu Tundu Lissu na kuona jinsi mifumo ya Kutoa Haki ya Tanzania inavyofanya KAZI!

Majibu:
Wakili Peter Kibatala inaonekana hajui kabisa taratibu za Kimawasiliano kati ya Balozi na host Country!

Kikanuni,Raia hana mamlaka wala ruhusa ya kuwasiliana Officially na Balozi yoyote yule bila kupitia Wizara ya Mambo ya NJE na Ushirikiano wa Afrika Mashariki!Chochote atakachoandika Wakili Peter Kibatala kitakuwa hakina maana wala sio Official Communication(Viena Convention on Diplomatic Relations,1961)inaonekana Wakili Peter Kibatala haijui kabisa haya!

Pili,Viena Convention on Diplomatic Relations ya mwaka (1961) "outlines legal framework for Diplomatic mission-(I)termination of Diplomatic Relations"!

Kwa TAFSIRI rahisi ni kwamba Viena Convention kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia kati ya Nchi na Nchi,inaambatanisha majukumu(duties)ya Mabalozi katika Nchi walizopo(Host State).

Wajibu namba moja wa Balozi ni KUHESHIMU Sheria na kanuni za Nchi husika hata wakati wakitekeleza majukumu yao!Pili, Majukumu ya Balozi wa Nje hayapaswi kwa njia yoyote ile kuingilia kabisa mambo ya ndani ya Taifa husika!

Lakini nanukuu hapa"all Official business with the host State should be conducted through the Ministry of Foreign Affairs!Wakili Peter Kibatala aende akasome Viena Convention on Diplomatic Relations 1961,on Persona Non Grata!

Mwisho Wakili Peter Kibatala aende akasome kitu kinaitwa (HGO) kwa maana ya kanuni kwa Mabalozi wanapokuwa ndani ya mipaka ya Host Government!

II.Hoja ya Pili Wakili Peter anaandika👇🏿👇🏿

"I will write also to Heads of all major religion dominations and Institutions to invite for the same cause!

Majibu:
WAKILI Peter Kibatala anataka kuwaingiza Viongozi wa dini kwenye malengo ya kuitisha Mahakama ya Tanzania wakati inafanya majukumu yake!Uwepo Mahakamani wa Viongozi wa dini hauwezi kwa namna yoyote ile kupindisha Sheria za Nchi kwa maana ya kutaka kumsaidia Ndugu Tundu Antipas Lissu apate au asipate haki!Mchezo huu ambao Wakili Peter anataka kuufanya wa kuitisha Mahakama umepitwa na wakati sana!

Ni muhimu Wakili Peter Kibatala angetumia muda wake mwingi kujiandaa kumtetea ndugu Tundu Lissu na kuishawishi Mahakama ya Tanzania kuliko kukimbia jukumu hilo la Kiwakili na kujivika "Uwanaharakati" mbele ya Mahakama hivyo kushusha sana CV yake mbele ya Mahakama ya Tanzania!

Kiongozi yoyote wa dini ambaye atakwenda Mahakamani kisa Ndugu Tundu Antipas Lissu amepelekwa Mahakamani leo atatafsiriwa na Watanzania kuwa tayari ana upande wake na ana maslahi yake katika kesi hii zaidi ya yale ya upatikanaji wa HAKI mbele ya Sheria!

Sina uhakika kama Viongozi wa dini wa Nchi hii wanaweza kufanya "UPUUZI " huu ambao hawajawahi kuufanya wakati wowote wa Uhai wa Kanisa wala Uhai wa Msikiti wa Tanzania!

III.Wakili Peter Kibatala anaadika tena👇🏿👇🏿

" We want Tundu Lissu to be tried in full public view!

Majibu:Tangia lini Wakili Peter Kibatala ameanza kuishinikiza Mahakama ya Tanzania juu ya "modarity" ya kusikiliza kesi?Wakili Peter Kibatala amekuwa na kesi nyingi sana ndani ya Mahakama ya Tanzania lakini hakuna wakati wowote mahali popote amewahi kuishinikiza Mahakama kusikiliza kesi kwa mtindo wa (I) Physical Mahakamani au (II)Mahakama Mtandao ambapo kesi uendeshwa wakati mtuhumiwa yupo Magereza!

Mahakama ya Tanzania inaweza ikaona inafaa kuendesha kesi hiyo kwa mtindo wa Mahakama Mtandao!!Wakili Peter anasema jaribio kama hilo la Mahakama litakumbana na "stiff legal resistance" kutoka kwake na mteja wake!

Itoshe kusema Wakili Peter Kibatala anajua kabisa kuwa jaribio lolote la kuifanya Mahakama kuwa na "pressure" ni KOSA la kimaadili mbele ya taratibu za kiapo cha Mawakili!Anachotaka kukifanya Wakili Peter Kibatala sio tu ni ukosefu wa Maadili ya Uwakili na heshima kwa Mahakama zetu bali pia ni KOSA la Kimaadili kushinikiza/kushawishi Ushiriki wa watu waje Mahakamani

Sifa/heshima za Wakili Peter Kibatala zimeingia doa kubwa mbele ya macho ya Watanzania!

Ngoja tuone kama Mabalozi na Viongozi wa dini "watacomply" na "UNYAMBISI"huu wa viwango vya juu kabisa!
Rejoice and be glad
 
Mimi sio Mwanasheria wala Mwanadiplomasia lakini juzi nimestushwa sana na andiko la Wakili ambaye anatajwa kuwa Mweledi sana wa Sheria Wakili Peter Kibatala,kuhusu Kesi ya Ndugu Tundu Antipas Lissu,andiko ambalo alipost kupitia mtandao wa X zamani Twitter!

Katika andiko hilo Wakili Peter Kibatala ameibua hoja kadhaa lakini mimi nataka kumpeleka "Shule" kidogo katika baadhi ya hoja zake ambazo ni wazi amejiingiza "Chaka"yeye na anataka pia kuwaingiza "Chaka" Mabalozi wa nje waliopo Tanzania pamoja na VIONGOZI WA DINI!

HOJA ZAKE KUHUSU KESI YA TUNDU LISSU ZILIKUWA HIZI HAPA👇🏿👇🏿

Anaandika Wakili Peter Kibatala 👇🏿👇🏿

1.Tomorrow 22nd April 2025,I will officially write to the Embassies of Diplomatic Corps in Tanzania inviting their Officers to attend Mr Lissu's case and witness Tanzania justice at play!

Kwa kiswahili rahisi ni kwamba Wakili Kibatala amepanga kuwandikia Mabalozi wa Nje waliopo Nchini Tanzania kuja kusikiliza KESI ya Ndugu Tundu Lissu na kuona jinsi mifumo ya Kutoa Haki ya Tanzania inavyofanya KAZI!

Majibu:
Wakili Peter Kibatala inaonekana hajui kabisa taratibu za Kimawasiliano kati ya Balozi na host Country!

Kikanuni,Raia hana mamlaka wala ruhusa ya kuwasiliana Officially na Balozi yoyote yule bila kupitia Wizara ya Mambo ya NJE na Ushirikiano wa Afrika Mashariki!Chochote atakachoandika Wakili Peter Kibatala kitakuwa hakina maana wala sio Official Communication(Viena Convention on Diplomatic Relations,1961)inaonekana Wakili Peter Kibatala haijui kabisa haya!

Pili,Viena Convention on Diplomatic Relations ya mwaka (1961) "outlines legal framework for Diplomatic mission-(I)termination of Diplomatic Relations"!

Kwa TAFSIRI rahisi ni kwamba Viena Convention kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia kati ya Nchi na Nchi,inaambatanisha majukumu(duties)ya Mabalozi katika Nchi walizopo(Host State).

Wajibu namba moja wa Balozi ni KUHESHIMU Sheria na kanuni za Nchi husika hata wakati wakitekeleza majukumu yao!Pili, Majukumu ya Balozi wa Nje hayapaswi kwa njia yoyote ile kuingilia kabisa mambo ya ndani ya Taifa husika!

Lakini nanukuu hapa"all Official business with the host State should be conducted through the Ministry of Foreign Affairs!Wakili Peter Kibatala aende akasome Viena Convention on Diplomatic Relations 1961,on Persona Non Grata!

Mwisho Wakili Peter Kibatala aende akasome kitu kinaitwa (HGO) kwa maana ya kanuni kwa Mabalozi wanapokuwa ndani ya mipaka ya Host Government!

II.Hoja ya Pili Wakili Peter anaandika👇🏿👇🏿

"I will write also to Heads of all major religion dominations and Institutions to invite for the same cause!

Majibu:
WAKILI Peter Kibatala anataka kuwaingiza Viongozi wa dini kwenye malengo ya kuitisha Mahakama ya Tanzania wakati inafanya majukumu yake!Uwepo Mahakamani wa Viongozi wa dini hauwezi kwa namna yoyote ile kupindisha Sheria za Nchi kwa maana ya kutaka kumsaidia Ndugu Tundu Antipas Lissu apate au asipate haki!Mchezo huu ambao Wakili Peter anataka kuufanya wa kuitisha Mahakama umepitwa na wakati sana!

Ni muhimu Wakili Peter Kibatala angetumia muda wake mwingi kujiandaa kumtetea ndugu Tundu Lissu na kuishawishi Mahakama ya Tanzania kuliko kukimbia jukumu hilo la Kiwakili na kujivika "Uwanaharakati" mbele ya Mahakama hivyo kushusha sana CV yake mbele ya Mahakama ya Tanzania!

Kiongozi yoyote wa dini ambaye atakwenda Mahakamani kisa Ndugu Tundu Antipas Lissu amepelekwa Mahakamani leo atatafsiriwa na Watanzania kuwa tayari ana upande wake na ana maslahi yake katika kesi hii zaidi ya yale ya upatikanaji wa HAKI mbele ya Sheria!

Sina uhakika kama Viongozi wa dini wa Nchi hii wanaweza kufanya "UPUUZI " huu ambao hawajawahi kuufanya wakati wowote wa Uhai wa Kanisa wala Uhai wa Msikiti wa Tanzania!

III.Wakili Peter Kibatala anaadika tena👇🏿👇🏿

" We want Tundu Lissu to be tried in full public view!

Majibu:Tangia lini Wakili Peter Kibatala ameanza kuishinikiza Mahakama ya Tanzania juu ya "modarity" ya kusikiliza kesi?Wakili Peter Kibatala amekuwa na kesi nyingi sana ndani ya Mahakama ya Tanzania lakini hakuna wakati wowote mahali popote amewahi kuishinikiza Mahakama kusikiliza kesi kwa mtindo wa (I) Physical Mahakamani au (II)Mahakama Mtandao ambapo kesi uendeshwa wakati mtuhumiwa yupo Magereza!

Mahakama ya Tanzania inaweza ikaona inafaa kuendesha kesi hiyo kwa mtindo wa Mahakama Mtandao!!Wakili Peter anasema jaribio kama hilo la Mahakama litakumbana na "stiff legal resistance" kutoka kwake na mteja wake!

Itoshe kusema Wakili Peter Kibatala anajua kabisa kuwa jaribio lolote la kuifanya Mahakama kuwa na "pressure" ni KOSA la kimaadili mbele ya taratibu za kiapo cha Mawakili!Anachotaka kukifanya Wakili Peter Kibatala sio tu ni ukosefu wa Maadili ya Uwakili na heshima kwa Mahakama zetu bali pia ni KOSA la Kimaadili kushinikiza/kushawishi Ushiriki wa watu waje Mahakamani

Sifa/heshima za Wakili Peter Kibatala zimeingia doa kubwa mbele ya macho ya Watanzania!

Ngoja tuone kama Mabalozi na Viongozi wa dini "watacomply" na "UNYAMBISI"huu wa viwango vya juu kabisa!


Ni neema na baraka za Mungu Tanzania imebarikiwa kua na kiongozi mbeba maono ya waTanzania wo ambae mstahimilivu na mwenye subra kama Dr.Samia Suluhu Hassn, licha ya chuki na upotoshaji unaoelekezwa dhidi yake na wanasiasa waliopoteza uelekeo wakiungana na viongozi wa dini kwasababu Dr.Samia Suluhu Hassani sio wa dini yao na pengine kwasababu ni kiongozi shupavu mwananmke.

Dhamira na nia njema ya mbeba maono huyu wa waTanzania, ndio haswa chimbuko la uongozi wake madhubuti wa kisayansi dhidi ya wahubiri chuki na wachochea uhasama dhidi ya serikali yake sikivu ya CCM anayoiongoza.

Dr.Samia Suluhu Hassan ni mnyenyekevu na msikivu wa kiwango cha juu mno katika historia ya nchi yetu, hasa anapotekeleza majukumu yake muhimu sana ya kuwatumikia wananchi na waTanzania wote kwa ujumla. Hapajawahi kutokea kiongozi mstahimilivu mwenye subra, hekima na busara kama huyu wa Tanzania kwa sasa.
Kama taifa yafaa kumshukuru Mungu kwa zawadi ya huyu mama Dr.Samia, na kuzidi kumuombea kwa Mungu aendelee kumjalia afya njema na maono zaidi katika kuwatumikia na kuwaletea waTanzania maendeleo.

Msingi wa uongozi wake imara na usio tetereka, umejengwa katika falsafa yake mwenyewe ya maridhiano, mageuzi, ukarabati na ustahimilivu. Msingi wa falsafa hii ndiyo imeiliunganisha Taifa letu kutoka kwenye migawanyiko na hatimae kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu kutoka kujitenga.
Na matokeo yake uchumi wetu unaimarika, huduma za kijamii ni za uhakika zaidi na hali ya kisiasa ikizidi kuboreshwa siku hadi siku kuelekea uchaguzi mkuu wa october2025.

Hekima na Busara za Rais Dr.Samia Suluhu Hassan, daima zimekua tiba na dawa ya mikwamo na changamoto ndogo ndogo za kisiasa, kijamii na kiuchumi kwa nchi yetu, licha ya hujuma, kelele za chuki za kidini, msukumo wa mataifa ya nje kwa kutumia vibaraka wao ndani ya vyama vya siasa na madhehebu ya kidini, kujaribu kuhujumu na kuvuruga jitihada za mtukufu Rais za kuimarisha umoja na amani ya waTanzania. Ni fahari kwa kila mTanzania mzalendo kujivunia umahiri wa Dr.Samia Suluhu Hassan katika kusimama imara katika nafasi yake ya urais, huku akiwatumikia waTanzania kwa weledi wa kiwango cha juu sana na serikali yake sikivu ya ccm.🐒

Well done Dr.Samia Suluhu Hassan
God Bless You Mama. By chawa mwandamizi...
 
Mimi sio Mwanasheria wala Mwanadiplomasia lakini juzi nimestushwa sana na andiko la Wakili ambaye anatajwa kuwa Mweledi sana wa Sheria Wakili Peter Kibatala,kuhusu Kesi ya Ndugu Tundu Antipas Lissu,andiko ambalo alipost kupitia mtandao wa X zamani Twitter!

Katika andiko hilo Wakili Peter Kibatala ameibua hoja kadhaa lakini mimi nataka kumpeleka "Shule" kidogo katika baadhi ya hoja zake ambazo ni wazi amejiingiza "Chaka"yeye na anataka pia kuwaingiza "Chaka" Mabalozi wa nje waliopo Tanzania pamoja na VIONGOZI WA DINI!

HOJA ZAKE KUHUSU KESI YA TUNDU LISSU ZILIKUWA HIZI HAPA👇🏿👇🏿

Anaandika Wakili Peter Kibatala 👇🏿👇🏿

1.Tomorrow 22nd April 2025,I will officially write to the Embassies of Diplomatic Corps in Tanzania inviting their Officers to attend Mr Lissu's case and witness Tanzania justice at play!

Kwa kiswahili rahisi ni kwamba Wakili Kibatala amepanga kuwandikia Mabalozi wa Nje waliopo Nchini Tanzania kuja kusikiliza KESI ya Ndugu Tundu Lissu na kuona jinsi mifumo ya Kutoa Haki ya Tanzania inavyofanya KAZI!

Majibu:
Wakili Peter Kibatala inaonekana hajui kabisa taratibu za Kimawasiliano kati ya Balozi na host Country!

Kikanuni,Raia hana mamlaka wala ruhusa ya kuwasiliana Officially na Balozi yoyote yule bila kupitia Wizara ya Mambo ya NJE na Ushirikiano wa Afrika Mashariki!Chochote atakachoandika Wakili Peter Kibatala kitakuwa hakina maana wala sio Official Communication(Viena Convention on Diplomatic Relations,1961)inaonekana Wakili Peter Kibatala haijui kabisa haya!

Pili,Viena Convention on Diplomatic Relations ya mwaka (1961) "outlines legal framework for Diplomatic mission-(I)termination of Diplomatic Relations"!

Kwa TAFSIRI rahisi ni kwamba Viena Convention kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia kati ya Nchi na Nchi,inaambatanisha majukumu(duties)ya Mabalozi katika Nchi walizopo(Host State).

Wajibu namba moja wa Balozi ni KUHESHIMU Sheria na kanuni za Nchi husika hata wakati wakitekeleza majukumu yao!Pili, Majukumu ya Balozi wa Nje hayapaswi kwa njia yoyote ile kuingilia kabisa mambo ya ndani ya Taifa husika!

Lakini nanukuu hapa"all Official business with the host State should be conducted through the Ministry of Foreign Affairs!Wakili Peter Kibatala aende akasome Viena Convention on Diplomatic Relations 1961,on Persona Non Grata!

Mwisho Wakili Peter Kibatala aende akasome kitu kinaitwa (HGO) kwa maana ya kanuni kwa Mabalozi wanapokuwa ndani ya mipaka ya Host Government!

II.Hoja ya Pili Wakili Peter anaandika👇🏿👇🏿

"I will write also to Heads of all major religion dominations and Institutions to invite for the same cause!

Majibu:
WAKILI Peter Kibatala anataka kuwaingiza Viongozi wa dini kwenye malengo ya kuitisha Mahakama ya Tanzania wakati inafanya majukumu yake!Uwepo Mahakamani wa Viongozi wa dini hauwezi kwa namna yoyote ile kupindisha Sheria za Nchi kwa maana ya kutaka kumsaidia Ndugu Tundu Antipas Lissu apate au asipate haki!Mchezo huu ambao Wakili Peter anataka kuufanya wa kuitisha Mahakama umepitwa na wakati sana!

Ni muhimu Wakili Peter Kibatala angetumia muda wake mwingi kujiandaa kumtetea ndugu Tundu Lissu na kuishawishi Mahakama ya Tanzania kuliko kukimbia jukumu hilo la Kiwakili na kujivika "Uwanaharakati" mbele ya Mahakama hivyo kushusha sana CV yake mbele ya Mahakama ya Tanzania!

Kiongozi yoyote wa dini ambaye atakwenda Mahakamani kisa Ndugu Tundu Antipas Lissu amepelekwa Mahakamani leo atatafsiriwa na Watanzania kuwa tayari ana upande wake na ana maslahi yake katika kesi hii zaidi ya yale ya upatikanaji wa HAKI mbele ya Sheria!

Sina uhakika kama Viongozi wa dini wa Nchi hii wanaweza kufanya "UPUUZI " huu ambao hawajawahi kuufanya wakati wowote wa Uhai wa Kanisa wala Uhai wa Msikiti wa Tanzania!

III.Wakili Peter Kibatala anaadika tena👇🏿👇🏿

" We want Tundu Lissu to be tried in full public view!

Majibu:Tangia lini Wakili Peter Kibatala ameanza kuishinikiza Mahakama ya Tanzania juu ya "modarity" ya kusikiliza kesi?Wakili Peter Kibatala amekuwa na kesi nyingi sana ndani ya Mahakama ya Tanzania lakini hakuna wakati wowote mahali popote amewahi kuishinikiza Mahakama kusikiliza kesi kwa mtindo wa (I) Physical Mahakamani au (II)Mahakama Mtandao ambapo kesi uendeshwa wakati mtuhumiwa yupo Magereza!

Mahakama ya Tanzania inaweza ikaona inafaa kuendesha kesi hiyo kwa mtindo wa Mahakama Mtandao!!Wakili Peter anasema jaribio kama hilo la Mahakama litakumbana na "stiff legal resistance" kutoka kwake na mteja wake!

Itoshe kusema Wakili Peter Kibatala anajua kabisa kuwa jaribio lolote la kuifanya Mahakama kuwa na "pressure" ni KOSA la kimaadili mbele ya taratibu za kiapo cha Mawakili!Anachotaka kukifanya Wakili Peter Kibatala sio tu ni ukosefu wa Maadili ya Uwakili na heshima kwa Mahakama zetu bali pia ni KOSA la Kimaadili kushinikiza/kushawishi Ushiriki wa watu waje Mahakamani

Sifa/heshima za Wakili Peter Kibatala zimeingia doa kubwa mbele ya macho ya Watanzania!

Ngoja tuone kama Mabalozi na Viongozi wa dini "watacomply" na "UNYAMBISI"huu wa viwango vya juu kabisa!
Kwani Mbilinyi alikuwa ana wasiliana na Balozi WA us Kwa kupitia wizara yetu
 
Mimi sio Mwanasheria wala Mwanadiplomasia lakini juzi nimestushwa sana na andiko la Wakili ambaye anatajwa kuwa Mweledi sana wa Sheria Wakili Peter Kibatala,kuhusu Kesi ya Ndugu Tundu Antipas Lissu,andiko ambalo alipost kupitia mtandao wa X zamani Twitter!

Katika andiko hilo Wakili Peter Kibatala ameibua hoja kadhaa lakini mimi nataka kumpeleka "Shule" kidogo katika baadhi ya hoja zake ambazo ni wazi amejiingiza "Chaka"yeye na anataka pia kuwaingiza "Chaka" Mabalozi wa nje waliopo Tanzania pamoja na VIONGOZI WA DINI!

HOJA ZAKE KUHUSU KESI YA TUNDU LISSU ZILIKUWA HIZI HAPA👇🏿👇🏿

Anaandika Wakili Peter Kibatala 👇🏿👇🏿

1.Tomorrow 22nd April 2025,I will officially write to the Embassies of Diplomatic Corps in Tanzania inviting their Officers to attend Mr Lissu's case and witness Tanzania justice at play!

Kwa kiswahili rahisi ni kwamba Wakili Kibatala amepanga kuwandikia Mabalozi wa Nje waliopo Nchini Tanzania kuja kusikiliza KESI ya Ndugu Tundu Lissu na kuona jinsi mifumo ya Kutoa Haki ya Tanzania inavyofanya KAZI!

Majibu:
Wakili Peter Kibatala inaonekana hajui kabisa taratibu za Kimawasiliano kati ya Balozi na host Country!

Kikanuni,Raia hana mamlaka wala ruhusa ya kuwasiliana Officially na Balozi yoyote yule bila kupitia Wizara ya Mambo ya NJE na Ushirikiano wa Afrika Mashariki!Chochote atakachoandika Wakili Peter Kibatala kitakuwa hakina maana wala sio Official Communication(Viena Convention on Diplomatic Relations,1961)inaonekana Wakili Peter Kibatala haijui kabisa haya!

Pili,Viena Convention on Diplomatic Relations ya mwaka (1961) "outlines legal framework for Diplomatic mission-(I)termination of Diplomatic Relations"!

Kwa TAFSIRI rahisi ni kwamba Viena Convention kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia kati ya Nchi na Nchi,inaambatanisha majukumu(duties)ya Mabalozi katika Nchi walizopo(Host State).

Wajibu namba moja wa Balozi ni KUHESHIMU Sheria na kanuni za Nchi husika hata wakati wakitekeleza majukumu yao!Pili, Majukumu ya Balozi wa Nje hayapaswi kwa njia yoyote ile kuingilia kabisa mambo ya ndani ya Taifa husika!

Lakini nanukuu hapa"all Official business with the host State should be conducted through the Ministry of Foreign Affairs!Wakili Peter Kibatala aende akasome Viena Convention on Diplomatic Relations 1961,on Persona Non Grata!

Mwisho Wakili Peter Kibatala aende akasome kitu kinaitwa (HGO) kwa maana ya kanuni kwa Mabalozi wanapokuwa ndani ya mipaka ya Host Government!

II.Hoja ya Pili Wakili Peter anaandika👇🏿👇🏿

"I will write also to Heads of all major religion dominations and Institutions to invite for the same cause!

Majibu:
WAKILI Peter Kibatala anataka kuwaingiza Viongozi wa dini kwenye malengo ya kuitisha Mahakama ya Tanzania wakati inafanya majukumu yake!Uwepo Mahakamani wa Viongozi wa dini hauwezi kwa namna yoyote ile kupindisha Sheria za Nchi kwa maana ya kutaka kumsaidia Ndugu Tundu Antipas Lissu apate au asipate haki!Mchezo huu ambao Wakili Peter anataka kuufanya wa kuitisha Mahakama umepitwa na wakati sana!

Ni muhimu Wakili Peter Kibatala angetumia muda wake mwingi kujiandaa kumtetea ndugu Tundu Lissu na kuishawishi Mahakama ya Tanzania kuliko kukimbia jukumu hilo la Kiwakili na kujivika "Uwanaharakati" mbele ya Mahakama hivyo kushusha sana CV yake mbele ya Mahakama ya Tanzania!

Kiongozi yoyote wa dini ambaye atakwenda Mahakamani kisa Ndugu Tundu Antipas Lissu amepelekwa Mahakamani leo atatafsiriwa na Watanzania kuwa tayari ana upande wake na ana maslahi yake katika kesi hii zaidi ya yale ya upatikanaji wa HAKI mbele ya Sheria!

Sina uhakika kama Viongozi wa dini wa Nchi hii wanaweza kufanya "UPUUZI " huu ambao hawajawahi kuufanya wakati wowote wa Uhai wa Kanisa wala Uhai wa Msikiti wa Tanzania!

III.Wakili Peter Kibatala anaadika tena👇🏿👇🏿

" We want Tundu Lissu to be tried in full public view!

Majibu:Tangia lini Wakili Peter Kibatala ameanza kuishinikiza Mahakama ya Tanzania juu ya "modarity" ya kusikiliza kesi?Wakili Peter Kibatala amekuwa na kesi nyingi sana ndani ya Mahakama ya Tanzania lakini hakuna wakati wowote mahali popote amewahi kuishinikiza Mahakama kusikiliza kesi kwa mtindo wa (I) Physical Mahakamani au (II)Mahakama Mtandao ambapo kesi uendeshwa wakati mtuhumiwa yupo Magereza!

Mahakama ya Tanzania inaweza ikaona inafaa kuendesha kesi hiyo kwa mtindo wa Mahakama Mtandao!!Wakili Peter anasema jaribio kama hilo la Mahakama litakumbana na "stiff legal resistance" kutoka kwake na mteja wake!

Itoshe kusema Wakili Peter Kibatala anajua kabisa kuwa jaribio lolote la kuifanya Mahakama kuwa na "pressure" ni KOSA la kimaadili mbele ya taratibu za kiapo cha Mawakili!Anachotaka kukifanya Wakili Peter Kibatala sio tu ni ukosefu wa Maadili ya Uwakili na heshima kwa Mahakama zetu bali pia ni KOSA la Kimaadili kushinikiza/kushawishi Ushiriki wa watu waje Mahakamani

Sifa/heshima za Wakili Peter Kibatala zimeingia doa kubwa mbele ya macho ya Watanzania!

Ngoja tuone kama Mabalozi na Viongozi wa dini "watacomply" na "UNYAMBISI"huu wa viwango vya juu kabisa!
Define mwanaharakati halafu weka kanuni inayomkataza raia kuwasiliana na ubalozi bila kupitia wizara ya mambo ya nje.
 
Mimi sio Mwanasheria wala Mwanadiplomasia lakini juzi nimestushwa sana na andiko la Wakili ambaye anatajwa kuwa Mweledi sana wa Sheria Wakili Peter Kibatala,kuhusu Kesi ya Ndugu Tundu Antipas Lissu,andiko ambalo alipost kupitia mtandao wa X zamani Twitter!

Katika andiko hilo Wakili Peter Kibatala ameibua hoja kadhaa lakini mimi nataka kumpeleka "Shule" kidogo katika baadhi ya hoja zake ambazo ni wazi amejiingiza "Chaka"yeye na anataka pia kuwaingiza "Chaka" Mabalozi wa nje waliopo Tanzania pamoja na VIONGOZI WA DINI!

HOJA ZAKE KUHUSU KESI YA TUNDU LISSU ZILIKUWA HIZI HAPA👇🏿👇🏿

Anaandika Wakili Peter Kibatala 👇🏿👇🏿

1.Tomorrow 22nd April 2025,I will officially write to the Embassies of Diplomatic Corps in Tanzania inviting their Officers to attend Mr Lissu's case and witness Tanzania justice at play!

Kwa kiswahili rahisi ni kwamba Wakili Kibatala amepanga kuwandikia Mabalozi wa Nje waliopo Nchini Tanzania kuja kusikiliza KESI ya Ndugu Tundu Lissu na kuona jinsi mifumo ya Kutoa Haki ya Tanzania inavyofanya KAZI!

Majibu:
Wakili Peter Kibatala inaonekana hajui kabisa taratibu za Kimawasiliano kati ya Balozi na host Country!

Kikanuni,Raia hana mamlaka wala ruhusa ya kuwasiliana Officially na Balozi yoyote yule bila kupitia Wizara ya Mambo ya NJE na Ushirikiano wa Afrika Mashariki!Chochote atakachoandika Wakili Peter Kibatala kitakuwa hakina maana wala sio Official Communication(Viena Convention on Diplomatic Relations,1961)inaonekana Wakili Peter Kibatala haijui kabisa haya!

Pili,Viena Convention on Diplomatic Relations ya mwaka (1961) "outlines legal framework for Diplomatic mission-(I)termination of Diplomatic Relations"!

Kwa TAFSIRI rahisi ni kwamba Viena Convention kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia kati ya Nchi na Nchi,inaambatanisha majukumu(duties)ya Mabalozi katika Nchi walizopo(Host State).

Wajibu namba moja wa Balozi ni KUHESHIMU Sheria na kanuni za Nchi husika hata wakati wakitekeleza majukumu yao!Pili, Majukumu ya Balozi wa Nje hayapaswi kwa njia yoyote ile kuingilia kabisa mambo ya ndani ya Taifa husika!

Lakini nanukuu hapa"all Official business with the host State should be conducted through the Ministry of Foreign Affairs!Wakili Peter Kibatala aende akasome Viena Convention on Diplomatic Relations 1961,on Persona Non Grata!

Mwisho Wakili Peter Kibatala aende akasome kitu kinaitwa (HGO) kwa maana ya kanuni kwa Mabalozi wanapokuwa ndani ya mipaka ya Host Government!

II.Hoja ya Pili Wakili Peter anaandika👇🏿👇🏿

"I will write also to Heads of all major religion dominations and Institutions to invite for the same cause!

Majibu:
WAKILI Peter Kibatala anataka kuwaingiza Viongozi wa dini kwenye malengo ya kuitisha Mahakama ya Tanzania wakati inafanya majukumu yake!Uwepo Mahakamani wa Viongozi wa dini hauwezi kwa namna yoyote ile kupindisha Sheria za Nchi kwa maana ya kutaka kumsaidia Ndugu Tundu Antipas Lissu apate au asipate haki!Mchezo huu ambao Wakili Peter anataka kuufanya wa kuitisha Mahakama umepitwa na wakati sana!

Ni muhimu Wakili Peter Kibatala angetumia muda wake mwingi kujiandaa kumtetea ndugu Tundu Lissu na kuishawishi Mahakama ya Tanzania kuliko kukimbia jukumu hilo la Kiwakili na kujivika "Uwanaharakati" mbele ya Mahakama hivyo kushusha sana CV yake mbele ya Mahakama ya Tanzania!

Kiongozi yoyote wa dini ambaye atakwenda Mahakamani kisa Ndugu Tundu Antipas Lissu amepelekwa Mahakamani leo atatafsiriwa na Watanzania kuwa tayari ana upande wake na ana maslahi yake katika kesi hii zaidi ya yale ya upatikanaji wa HAKI mbele ya Sheria!

Sina uhakika kama Viongozi wa dini wa Nchi hii wanaweza kufanya "UPUUZI " huu ambao hawajawahi kuufanya wakati wowote wa Uhai wa Kanisa wala Uhai wa Msikiti wa Tanzania!

III.Wakili Peter Kibatala anaadika tena👇🏿👇🏿

" We want Tundu Lissu to be tried in full public view!

Majibu:Tangia lini Wakili Peter Kibatala ameanza kuishinikiza Mahakama ya Tanzania juu ya "modarity" ya kusikiliza kesi?Wakili Peter Kibatala amekuwa na kesi nyingi sana ndani ya Mahakama ya Tanzania lakini hakuna wakati wowote mahali popote amewahi kuishinikiza Mahakama kusikiliza kesi kwa mtindo wa (I) Physical Mahakamani au (II)Mahakama Mtandao ambapo kesi uendeshwa wakati mtuhumiwa yupo Magereza!

Mahakama ya Tanzania inaweza ikaona inafaa kuendesha kesi hiyo kwa mtindo wa Mahakama Mtandao!!Wakili Peter anasema jaribio kama hilo la Mahakama litakumbana na "stiff legal resistance" kutoka kwake na mteja wake!

Itoshe kusema Wakili Peter Kibatala anajua kabisa kuwa jaribio lolote la kuifanya Mahakama kuwa na "pressure" ni KOSA la kimaadili mbele ya taratibu za kiapo cha Mawakili!Anachotaka kukifanya Wakili Peter Kibatala sio tu ni ukosefu wa Maadili ya Uwakili na heshima kwa Mahakama zetu bali pia ni KOSA la Kimaadili kushinikiza/kushawishi Ushiriki wa watu waje Mahakamani

Sifa/heshima za Wakili Peter Kibatala zimeingia doa kubwa mbele ya macho ya Watanzania!

Ngoja tuone kama Mabalozi na Viongozi wa dini "watacomply" na "UNYAMBISI"huu wa viwango vya juu kabisa!
Mbona kama umepaniki! Kwani shida yako hasa iko wapi?
 
Wajibu namba moja wa Balozi ni KUHESHIMU Sheria na kanuni za Nchi husika hata wakati wakitekeleza majukumu yao!Pili, Majukumu ya Balozi wa Nje hayapaswi kwa njia yoyote ile kuingilia kabisa mambo ya ndani ya Taifa husika!
Na wakihudhuria ni wakufukuzwa.

📌📌🔨
 
Mimi sio Mwanasheria wala Mwanadiplomasia lakini juzi nimestushwa sana na andiko la Wakili ambaye anatajwa kuwa Mweledi sana wa Sheria Wakili Peter Kibatala,kuhusu Kesi ya Ndugu Tundu Antipas Lissu,andiko ambalo alipost kupitia mtandao wa X zamani Twitter!

Katika andiko hilo Wakili Peter Kibatala ameibua hoja kadhaa lakini mimi nataka kumpeleka "Shule" kidogo katika baadhi ya hoja zake ambazo ni wazi amejiingiza "Chaka"yeye na anataka pia kuwaingiza "Chaka" Mabalozi wa nje waliopo Tanzania pamoja na VIONGOZI WA DINI!

HOJA ZAKE KUHUSU KESI YA TUNDU LISSU ZILIKUWA HIZI HAPA👇🏿👇🏿

Anaandika Wakili Peter Kibatala 👇🏿👇🏿

1.Tomorrow 22nd April 2025,I will officially write to the Embassies of Diplomatic Corps in Tanzania inviting their Officers to attend Mr Lissu's case and witness Tanzania justice at play!

Kwa kiswahili rahisi ni kwamba Wakili Kibatala amepanga kuwandikia Mabalozi wa Nje waliopo Nchini Tanzania kuja kusikiliza KESI ya Ndugu Tundu Lissu na kuona jinsi mifumo ya Kutoa Haki ya Tanzania inavyofanya KAZI!

Majibu:
Wakili Peter Kibatala inaonekana hajui kabisa taratibu za Kimawasiliano kati ya Balozi na host Country!

Kikanuni,Raia hana mamlaka wala ruhusa ya kuwasiliana Officially na Balozi yoyote yule bila kupitia Wizara ya Mambo ya NJE na Ushirikiano wa Afrika Mashariki!Chochote atakachoandika Wakili Peter Kibatala kitakuwa hakina maana wala sio Official Communication(Viena Convention on Diplomatic Relations,1961)inaonekana Wakili Peter Kibatala haijui kabisa haya!

Pili,Viena Convention on Diplomatic Relations ya mwaka (1961) "outlines legal framework for Diplomatic mission-(I)termination of Diplomatic Relations"!

Kwa TAFSIRI rahisi ni kwamba Viena Convention kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia kati ya Nchi na Nchi,inaambatanisha majukumu(duties)ya Mabalozi katika Nchi walizopo(Host State).

Wajibu namba moja wa Balozi ni KUHESHIMU Sheria na kanuni za Nchi husika hata wakati wakitekeleza majukumu yao!Pili, Majukumu ya Balozi wa Nje hayapaswi kwa njia yoyote ile kuingilia kabisa mambo ya ndani ya Taifa husika!

Lakini nanukuu hapa"all Official business with the host State should be conducted through the Ministry of Foreign Affairs!Wakili Peter Kibatala aende akasome Viena Convention on Diplomatic Relations 1961,on Persona Non Grata!

Mwisho Wakili Peter Kibatala aende akasome kitu kinaitwa (HGO) kwa maana ya kanuni kwa Mabalozi wanapokuwa ndani ya mipaka ya Host Government!

II.Hoja ya Pili Wakili Peter anaandika👇🏿👇🏿

"I will write also to Heads of all major religion dominations and Institutions to invite for the same cause!

Majibu:
WAKILI Peter Kibatala anataka kuwaingiza Viongozi wa dini kwenye malengo ya kuitisha Mahakama ya Tanzania wakati inafanya majukumu yake!Uwepo Mahakamani wa Viongozi wa dini hauwezi kwa namna yoyote ile kupindisha Sheria za Nchi kwa maana ya kutaka kumsaidia Ndugu Tundu Antipas Lissu apate au asipate haki!Mchezo huu ambao Wakili Peter anataka kuufanya wa kuitisha Mahakama umepitwa na wakati sana!

Ni muhimu Wakili Peter Kibatala angetumia muda wake mwingi kujiandaa kumtetea ndugu Tundu Lissu na kuishawishi Mahakama ya Tanzania kuliko kukimbia jukumu hilo la Kiwakili na kujivika "Uwanaharakati" mbele ya Mahakama hivyo kushusha sana CV yake mbele ya Mahakama ya Tanzania!

Kiongozi yoyote wa dini ambaye atakwenda Mahakamani kisa Ndugu Tundu Antipas Lissu amepelekwa Mahakamani leo atatafsiriwa na Watanzania kuwa tayari ana upande wake na ana maslahi yake katika kesi hii zaidi ya yale ya upatikanaji wa HAKI mbele ya Sheria!

Sina uhakika kama Viongozi wa dini wa Nchi hii wanaweza kufanya "UPUUZI " huu ambao hawajawahi kuufanya wakati wowote wa Uhai wa Kanisa wala Uhai wa Msikiti wa Tanzania!

III.Wakili Peter Kibatala anaadika tena👇🏿👇🏿

" We want Tundu Lissu to be tried in full public view!

Majibu:Tangia lini Wakili Peter Kibatala ameanza kuishinikiza Mahakama ya Tanzania juu ya "modarity" ya kusikiliza kesi?Wakili Peter Kibatala amekuwa na kesi nyingi sana ndani ya Mahakama ya Tanzania lakini hakuna wakati wowote mahali popote amewahi kuishinikiza Mahakama kusikiliza kesi kwa mtindo wa (I) Physical Mahakamani au (II)Mahakama Mtandao ambapo kesi uendeshwa wakati mtuhumiwa yupo Magereza!

Mahakama ya Tanzania inaweza ikaona inafaa kuendesha kesi hiyo kwa mtindo wa Mahakama Mtandao!!Wakili Peter anasema jaribio kama hilo la Mahakama litakumbana na "stiff legal resistance" kutoka kwake na mteja wake!

Itoshe kusema Wakili Peter Kibatala anajua kabisa kuwa jaribio lolote la kuifanya Mahakama kuwa na "pressure" ni KOSA la kimaadili mbele ya taratibu za kiapo cha Mawakili!Anachotaka kukifanya Wakili Peter Kibatala sio tu ni ukosefu wa Maadili ya Uwakili na heshima kwa Mahakama zetu bali pia ni KOSA la Kimaadili kushinikiza/kushawishi Ushiriki wa watu waje Mahakamani

Sifa/heshima za Wakili Peter Kibatala zimeingia doa kubwa mbele ya macho ya Watanzania!

Ngoja tuone kama Mabalozi na Viongozi wa dini "watacomply" na "UNYAMBISI"huu wa viwango vya juu kabisa!
Wakili anazuiwa kuwa mwanaharakati?
 
Mimi sio Mwanasheria wala Mwanadiplomasia lakini juzi nimestushwa sana na andiko la Wakili ambaye anatajwa kuwa Mweledi sana wa Sheria Wakili Peter Kibatala,kuhusu Kesi ya Ndugu Tundu Antipas Lissu,andiko ambalo alipost kupitia mtandao wa X zamani Twitter!

Katika andiko hilo Wakili Peter Kibatala ameibua hoja kadhaa lakini mimi nataka kumpeleka "Shule" kidogo katika baadhi ya hoja zake ambazo ni wazi amejiingiza "Chaka"yeye na anataka pia kuwaingiza "Chaka" Mabalozi wa nje waliopo Tanzania pamoja na VIONGOZI WA DINI!

HOJA ZAKE KUHUSU KESI YA TUNDU LISSU ZILIKUWA HIZI HAPA👇🏿👇🏿

Anaandika Wakili Peter Kibatala 👇🏿👇🏿

1.Tomorrow 22nd April 2025,I will officially write to the Embassies of Diplomatic Corps in Tanzania inviting their Officers to attend Mr Lissu's case and witness Tanzania justice at play!

Kwa kiswahili rahisi ni kwamba Wakili Kibatala amepanga kuwandikia Mabalozi wa Nje waliopo Nchini Tanzania kuja kusikiliza KESI ya Ndugu Tundu Lissu na kuona jinsi mifumo ya Kutoa Haki ya Tanzania inavyofanya KAZI!

Majibu:
Wakili Peter Kibatala inaonekana hajui kabisa taratibu za Kimawasiliano kati ya Balozi na host Country!

Kikanuni,Raia hana mamlaka wala ruhusa ya kuwasiliana Officially na Balozi yoyote yule bila kupitia Wizara ya Mambo ya NJE na Ushirikiano wa Afrika Mashariki!Chochote atakachoandika Wakili Peter Kibatala kitakuwa hakina maana wala sio Official Communication(Viena Convention on Diplomatic Relations,1961)inaonekana Wakili Peter Kibatala haijui kabisa haya!

Pili,Viena Convention on Diplomatic Relations ya mwaka (1961) "outlines legal framework for Diplomatic mission-(I)termination of Diplomatic Relations"!

Kwa TAFSIRI rahisi ni kwamba Viena Convention kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia kati ya Nchi na Nchi,inaambatanisha majukumu(duties)ya Mabalozi katika Nchi walizopo(Host State).

Wajibu namba moja wa Balozi ni KUHESHIMU Sheria na kanuni za Nchi husika hata wakati wakitekeleza majukumu yao!Pili, Majukumu ya Balozi wa Nje hayapaswi kwa njia yoyote ile kuingilia kabisa mambo ya ndani ya Taifa husika!

Lakini nanukuu hapa"all Official business with the host State should be conducted through the Ministry of Foreign Affairs!Wakili Peter Kibatala aende akasome Viena Convention on Diplomatic Relations 1961,on Persona Non Grata!

Mwisho Wakili Peter Kibatala aende akasome kitu kinaitwa (HGO) kwa maana ya kanuni kwa Mabalozi wanapokuwa ndani ya mipaka ya Host Government!

II.Hoja ya Pili Wakili Peter anaandika👇🏿👇🏿

"I will write also to Heads of all major religion dominations and Institutions to invite for the same cause!

Majibu:
WAKILI Peter Kibatala anataka kuwaingiza Viongozi wa dini kwenye malengo ya kuitisha Mahakama ya Tanzania wakati inafanya majukumu yake!Uwepo Mahakamani wa Viongozi wa dini hauwezi kwa namna yoyote ile kupindisha Sheria za Nchi kwa maana ya kutaka kumsaidia Ndugu Tundu Antipas Lissu apate au asipate haki!Mchezo huu ambao Wakili Peter anataka kuufanya wa kuitisha Mahakama umepitwa na wakati sana!

Ni muhimu Wakili Peter Kibatala angetumia muda wake mwingi kujiandaa kumtetea ndugu Tundu Lissu na kuishawishi Mahakama ya Tanzania kuliko kukimbia jukumu hilo la Kiwakili na kujivika "Uwanaharakati" mbele ya Mahakama hivyo kushusha sana CV yake mbele ya Mahakama ya Tanzania!

Kiongozi yoyote wa dini ambaye atakwenda Mahakamani kisa Ndugu Tundu Antipas Lissu amepelekwa Mahakamani leo atatafsiriwa na Watanzania kuwa tayari ana upande wake na ana maslahi yake katika kesi hii zaidi ya yale ya upatikanaji wa HAKI mbele ya Sheria!

Sina uhakika kama Viongozi wa dini wa Nchi hii wanaweza kufanya "UPUUZI " huu ambao hawajawahi kuufanya wakati wowote wa Uhai wa Kanisa wala Uhai wa Msikiti wa Tanzania!

III.Wakili Peter Kibatala anaadika tena👇🏿👇🏿

" We want Tundu Lissu to be tried in full public view!

Majibu:Tangia lini Wakili Peter Kibatala ameanza kuishinikiza Mahakama ya Tanzania juu ya "modarity" ya kusikiliza kesi?Wakili Peter Kibatala amekuwa na kesi nyingi sana ndani ya Mahakama ya Tanzania lakini hakuna wakati wowote mahali popote amewahi kuishinikiza Mahakama kusikiliza kesi kwa mtindo wa (I) Physical Mahakamani au (II)Mahakama Mtandao ambapo kesi uendeshwa wakati mtuhumiwa yupo Magereza!

Mahakama ya Tanzania inaweza ikaona inafaa kuendesha kesi hiyo kwa mtindo wa Mahakama Mtandao!!Wakili Peter anasema jaribio kama hilo la Mahakama litakumbana na "stiff legal resistance" kutoka kwake na mteja wake!

Itoshe kusema Wakili Peter Kibatala anajua kabisa kuwa jaribio lolote la kuifanya Mahakama kuwa na "pressure" ni KOSA la kimaadili mbele ya taratibu za kiapo cha Mawakili!Anachotaka kukifanya Wakili Peter Kibatala sio tu ni ukosefu wa Maadili ya Uwakili na heshima kwa Mahakama zetu bali pia ni KOSA la Kimaadili kushinikiza/kushawishi Ushiriki wa watu waje Mahakamani

Sifa/heshima za Wakili Peter Kibatala zimeingia doa kubwa mbele ya macho ya Watanzania!

Ngoja tuone kama Mabalozi na Viongozi wa dini "watacomply" na "UNYAMBISI"huu wa viwango vya juu kabisa!
Very good argument!
 
Mimi sio Mwanasheria wala Mwanadiplomasia lakini juzi nimestushwa sana na andiko la Wakili ambaye anatajwa kuwa Mweledi sana wa Sheria Wakili Peter Kibatala,kuhusu Kesi ya Ndugu Tundu Antipas Lissu,andiko ambalo alipost kupitia mtandao wa X zamani Twitter!

Katika andiko hilo Wakili Peter Kibatala ameibua hoja kadhaa lakini mimi nataka kumpeleka "Shule" kidogo katika baadhi ya hoja zake ambazo ni wazi amejiingiza "Chaka"yeye na anataka pia kuwaingiza "Chaka" Mabalozi wa nje waliopo Tanzania pamoja na VIONGOZI WA DINI!

HOJA ZAKE KUHUSU KESI YA TUNDU LISSU ZILIKUWA HIZI HAPA👇🏿👇🏿

Anaandika Wakili Peter Kibatala 👇🏿👇🏿

1.Tomorrow 22nd April 2025,I will officially write to the Embassies of Diplomatic Corps in Tanzania inviting their Officers to attend Mr Lissu's case and witness Tanzania justice at play!

Kwa kiswahili rahisi ni kwamba Wakili Kibatala amepanga kuwandikia Mabalozi wa Nje waliopo Nchini Tanzania kuja kusikiliza KESI ya Ndugu Tundu Lissu na kuona jinsi mifumo ya Kutoa Haki ya Tanzania inavyofanya KAZI!

Majibu:
Wakili Peter Kibatala inaonekana hajui kabisa taratibu za Kimawasiliano kati ya Balozi na host Country!

Kikanuni,Raia hana mamlaka wala ruhusa ya kuwasiliana Officially na Balozi yoyote yule bila kupitia Wizara ya Mambo ya NJE na Ushirikiano wa Afrika Mashariki!Chochote atakachoandika Wakili Peter Kibatala kitakuwa hakina maana wala sio Official Communication(Viena Convention on Diplomatic Relations,1961)inaonekana Wakili Peter Kibatala haijui kabisa haya!

Pili,Viena Convention on Diplomatic Relations ya mwaka (1961) "outlines legal framework for Diplomatic mission-(I)termination of Diplomatic Relations"!

Kwa TAFSIRI rahisi ni kwamba Viena Convention kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia kati ya Nchi na Nchi,inaambatanisha majukumu(duties)ya Mabalozi katika Nchi walizopo(Host State).

Wajibu namba moja wa Balozi ni KUHESHIMU Sheria na kanuni za Nchi husika hata wakati wakitekeleza majukumu yao!Pili, Majukumu ya Balozi wa Nje hayapaswi kwa njia yoyote ile kuingilia kabisa mambo ya ndani ya Taifa husika!

Lakini nanukuu hapa"all Official business with the host State should be conducted through the Ministry of Foreign Affairs!Wakili Peter Kibatala aende akasome Viena Convention on Diplomatic Relations 1961,on Persona Non Grata!

Mwisho Wakili Peter Kibatala aende akasome kitu kinaitwa (HGO) kwa maana ya kanuni kwa Mabalozi wanapokuwa ndani ya mipaka ya Host Government!

II.Hoja ya Pili Wakili Peter anaandika👇🏿👇🏿

"I will write also to Heads of all major religion dominations and Institutions to invite for the same cause!

Majibu:
WAKILI Peter Kibatala anataka kuwaingiza Viongozi wa dini kwenye malengo ya kuitisha Mahakama ya Tanzania wakati inafanya majukumu yake!Uwepo Mahakamani wa Viongozi wa dini hauwezi kwa namna yoyote ile kupindisha Sheria za Nchi kwa maana ya kutaka kumsaidia Ndugu Tundu Antipas Lissu apate au asipate haki!Mchezo huu ambao Wakili Peter anataka kuufanya wa kuitisha Mahakama umepitwa na wakati sana!

Ni muhimu Wakili Peter Kibatala angetumia muda wake mwingi kujiandaa kumtetea ndugu Tundu Lissu na kuishawishi Mahakama ya Tanzania kuliko kukimbia jukumu hilo la Kiwakili na kujivika "Uwanaharakati" mbele ya Mahakama hivyo kushusha sana CV yake mbele ya Mahakama ya Tanzania!

Kiongozi yoyote wa dini ambaye atakwenda Mahakamani kisa Ndugu Tundu Antipas Lissu amepelekwa Mahakamani leo atatafsiriwa na Watanzania kuwa tayari ana upande wake na ana maslahi yake katika kesi hii zaidi ya yale ya upatikanaji wa HAKI mbele ya Sheria!

Sina uhakika kama Viongozi wa dini wa Nchi hii wanaweza kufanya "UPUUZI " huu ambao hawajawahi kuufanya wakati wowote wa Uhai wa Kanisa wala Uhai wa Msikiti wa Tanzania!

III.Wakili Peter Kibatala anaadika tena👇🏿👇🏿

" We want Tundu Lissu to be tried in full public view!

Majibu:Tangia lini Wakili Peter Kibatala ameanza kuishinikiza Mahakama ya Tanzania juu ya "modarity" ya kusikiliza kesi?Wakili Peter Kibatala amekuwa na kesi nyingi sana ndani ya Mahakama ya Tanzania lakini hakuna wakati wowote mahali popote amewahi kuishinikiza Mahakama kusikiliza kesi kwa mtindo wa (I) Physical Mahakamani au (II)Mahakama Mtandao ambapo kesi uendeshwa wakati mtuhumiwa yupo Magereza!

Mahakama ya Tanzania inaweza ikaona inafaa kuendesha kesi hiyo kwa mtindo wa Mahakama Mtandao!!Wakili Peter anasema jaribio kama hilo la Mahakama litakumbana na "stiff legal resistance" kutoka kwake na mteja wake!

Itoshe kusema Wakili Peter Kibatala anajua kabisa kuwa jaribio lolote la kuifanya Mahakama kuwa na "pressure" ni KOSA la kimaadili mbele ya taratibu za kiapo cha Mawakili!Anachotaka kukifanya Wakili Peter Kibatala sio tu ni ukosefu wa Maadili ya Uwakili na heshima kwa Mahakama zetu bali pia ni KOSA la Kimaadili kushinikiza/kushawishi Ushiriki wa watu waje Mahakamani

Sifa/heshima za Wakili Peter Kibatala zimeingia doa kubwa mbele ya macho ya Watanzania!

Ngoja tuone kama Mabalozi na Viongozi wa dini "watacomply" na "UNYAMBISI"huu wa viwango vya juu kabisa!
wasipokuelewa hawataelewa tena , inashangaza sana kwa tabia zile
 
Back
Top Bottom