Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
gfsonwin ,sory kama nitaumiza feelings za watu,but am also a Catholic,lakini ukweli lazima usemwe.Ni hivi,mambo mengi kama siyo yote yaliyoko kwenye ukatoliki na yanayopigiwa debe na wakatoliki yametoka kwenye upagani including pete.So watawa unaowasema is the same agenda!
Last edited by a moderator: