Mostwanted boy
Senior Member
- Aug 24, 2013
- 115
- 10
- Thread starter
- #21
kuna wale wauza urembo kwenye vikapu huwa wanapita mitaani, wasubiri hao mkuu utapata ya buku nadhani. haya mambo nadhani huyawezi mweleze tu mchumba kuwa huna uwezo asubiri pete ya ndoa ambayo na kwa 70,000 hutapata.
asante kaka, pete ya ndoa haisumbui ata milion. Ok ntamwambia ukwel kuwa uwezo wangu unaishia hapo. AMA KWELI MAPENZI NA PESA HAVITENGANI.