Iliwahi kunitokea hii.sikumbuki nilipataje ile pete.ila kuna siku usiku ilianza kubana na nikaanza kusikia maumivu makali sana.mpaka kufika asubuhi nilikua nishateseka sana.kidole kimevimba kiasi Pete inataka kuzama.nilienda sonara hajafikA ilibidi apigiwe simu ndo akawahi kuikata.shukrani nilizompa Mungu anajua