Pesa

Pesa

shakamohd

Member
Joined
Dec 28, 2011
Posts
49
Reaction score
6
Dah! Kuna tajiri mmoja jina lake Bakharesa kwa sasa anagombea tawi la CCM kule visiwani Zanzibar ila nimemfuatilia sana khs historia yake na nikagundua kuwa kabla hajazishika pesa alikuwa jina lake anaitwa Bakari Issa. Baada ya kuwa matawi ya juu2 ndipo akajiita Bakharesa. Jee nawewe ukizishika pesa utajiita nani? Mimi hapa kama kawaida nitajiita Shaka
 
Dah! Kama linaelekea vile hahahaaaa kweli mkuu ila nitajitahidi kujita jina langu hili hili

So usiniambie umekaa kabisa unasubiri kuna siku nawe utazishika...Kweli binadamu kazi
 
Back
Top Bottom