K Kimbito nyama Senior Member Apr 10, 2012 157 38 Jun 21, 2012 #2 Pesa zimefanywaje, sorry,naomba unyambulishe zaidi
zomba JF-Expert Member Nov 27, 2007 17,240 3,910 Jun 21, 2012 #3 Wizi wa wakubwa wa mali za umma hupeleka fedha zao benki za nje, na huko huzipokea kwa mikono miwili, wanajuwa huwezi kuzitumia zote lakini ngoja wizi wa Europe wazilete huku Afrika. Utasikia "money laundering". Huo ndio ujinga wetu.
Wizi wa wakubwa wa mali za umma hupeleka fedha zao benki za nje, na huko huzipokea kwa mikono miwili, wanajuwa huwezi kuzitumia zote lakini ngoja wizi wa Europe wazilete huku Afrika. Utasikia "money laundering". Huo ndio ujinga wetu.
nyabhingi JF-Expert Member Oct 12, 2010 15,515 20,005 Jun 21, 2012 #4 kama chenge ameficha hela za wizi huko,ze bigboss hakosi kuwa ameficha huko,