Zamiluni Zamiluni JF-Expert Member Joined Feb 11, 2014 Posts 13,996 Reaction score 15,119 Mar 26, 2015 #21 WaTanzania badilikeni...Mambo ya michango imepitwa na wakati!!
H Helios JF-Expert Member Joined Apr 7, 2012 Posts 653 Reaction score 494 Mar 26, 2015 #22 Da Pretty said: Kuchanga mbona sio lazima? Vikao pia sio lazima. Click to expand... mkuu hujawahi pewa kadi kwa lazima na simu za kukukumbusha kila saa. au wanakupigia simu; tupo kwenye kikao tumekuweka loud speaker sema pledge yako
Da Pretty said: Kuchanga mbona sio lazima? Vikao pia sio lazima. Click to expand... mkuu hujawahi pewa kadi kwa lazima na simu za kukukumbusha kila saa. au wanakupigia simu; tupo kwenye kikao tumekuweka loud speaker sema pledge yako
Donatila JF-Expert Member Joined Oct 23, 2014 Posts 8,273 Reaction score 25,297 Mar 27, 2015 #23 Kweli kabisa kiasi kitengwe wafanyie biashara kwani baada ya sherehe wengi wao wanafuliaga.