Mkuu sio kwa mfumo wa sasa boom ulilosomea kipndi iko ndo hili Hilo kipindi iki angalia maisha yalivochange af huu mfumo wa kila mtu apate saiv unapewa boom tu out out of 1.5m unalipiwa ada laki 4 ko lazima litumike na kwenye ada Ilo Ilo ko usijedhani Kuna bata