Pesa ya boom yapunguzwa

Iyo ndo inakuwa ya miez mingapi kumbe wasomi wa hii nchi mnafaidi hela izo kila mwezi sie wamachinga hatzipat izo
Rudi shule kaka utazipata na wewe upate mtaji ununue kiwanja ujenge nanyumba sindohuwa malengo ya wanafunzi wanapoomba mkopo ila ukishapewa zinapitaga kama upepo
 
Vijana mnataka hela ya boom muwekeze iyo iyo mle ,acheni kuharakia maisha
 
Daah maisha yanaenda kasi sana watu wamepamban enzi hizo mpaka ikapanda leo mnaona ndogo daah malizeni mje kitaaa ndio mtajua kubwa au ndogo
 
Acah ujinga wewe unafkiri nani hajasoma humu?
Tena wengine walipata 5000 na 7500 per day na pesa ilitosha. Bana matumizi saidia panapostahili. Pesa inatosha.
Sikupangii lakini usibishe wanachokueleza waliokutangulia.
 
Acah ujinga wewe unafkiri nani hajasoma humu?
Tena wengine walipata 5000 na 7500 per day na pesa ilitosha. Bana matumizi saidia panapostahili. Pesa inatosha.
Sikupangii lakini usibishe wanachokueleza waliokutangulia.
Mkuu Mimi sili Bata simple math course tangu ni 1.5m kwnyw mkopo nalipiwa 400500 nayolipa mwenyewe 1.1m total boom kwa mwaka 2m ko nabakiwa na 900k kwa mwaka ko semester 1 nna 450k sasa masaidia wapi? Au unaisi nakurupuka
 
So unasema hiyo 450 huwezi kula na kulala kwa two months !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…