Pesa sina mke mzuri pia...aaaaaaah!!

Pesa sina mke mzuri pia...aaaaaaah!!

B'REAL

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
4,573
Reaction score
3,255
Rahwa-Afeworki-22-Eritrea.jpg MTOTO KUTOKA ELTREA,mtoto kama huyu ukija nae bongo ukaowaa si balaaa kama huna helaa
 
Uzuri wa mke tabia sio sura..anaweza kua mzuri akawa anaigawa kama pipi hapo uzuri wake uko wapi?
 
sura hailiwi bwana, kama kopo huko chini je? beauty is one factor but there are so many to consider.
 
Huyo nikimpata nakula had firigisi anaonesha ni matam kila mahal.
 
View attachment 53967MTOTO KUTOKA ELTREA,mtoto kama huyu ukija nae bongo ukaowaa si balaaa kama huna helaa

Hii picha nishawahi kutumiwa mara kibao anataka msaada wa kumuhifadhia pesa zake na yeye ni mkimbizi so anataka aje bongo aishi na mimi kama mke na mume, mkuu hapo naona kama ushaingia choo cha kike, spams hizo na ukiendelea zaidi utaambiwa utume dollar 600 ili kufanikisha zoezi.
 
Hii picha nishawahi kutumiwa mara kibao anataka msaada wa kumuhifadhia pesa zake na yeye ni mkimbizi so anataka aje bongo aishi na mimi kama mke na mume, mkuu hapo naona kama ushaingia choo cha kike, spams hizo na ukiendelea zaidi utaambiwa utume dollar 600 ili kufanikisha zoezi.
mjombaaa acha uwogaaaa
 
Namuwekea tego, ukitembea naye lazima unaswe, hamna kubanduka kifuani
nikweliii mzee mkubwaa mi somea alibadirii kabisaaa..au usingaaa.maana doh salalaa
 
sura hailiwi bwana, kama kopo huko chini je? beauty is one factor but there are so many to consider.
wapii meku suraaa ina faida yake banaaa...unatembeaa na mwanamke we mbaya na yeye mbayaa dah so...angalau babaa bayaa mama kifaaaa
 
Ujue umeyataka mwenyewe, mke mzuri bila hela lazima uibiwe na ikibidi uuawe kabisa ili upotee duniani na watu waendeleze raha duniani.
 
Nakuonya usijaribu kuoa mwanamke mzuri sana kama huna pesa,sisi tutamchukua tu, money talks!
 
Back
Top Bottom