Pesa sina mke mzuri pia...aaaaaaah!!

Pesa sina mke mzuri pia...aaaaaaah!!

wanawake wazuri jamani hawaishi,unaweza kumuweka ndani huyo ukatoka kwenda matembezi ghafla ukamuona mzuri zaidi,recall song of mr 20%-"tamaa mbaya"
 
mwambie Gbollin...atakanya misumari sasahivi matapeli wakubwa hwaaa!!
 
Mwanamke mzuri akiamka asubuhi au ametoka kuoga. Wengine hao wakinawa uso na hayo ma-make up yote yakatoka utakimbia. :eek2:
Kuna picha mmoja ya mchina ilionyeswa yahoo akiwa amepaka make up nusu ya uso, nusu hajapaka. Nikaamini wanawake wajuzi. Utafikiri watu wawili tofauti.
 
Uzuri wa mke tabia sio sura..anaweza kua mzuri akawa anaigawa kama pipi hapo uzuri wake uko wapi?
Acha ujinga wewe, uzuri wa mke sura na umbo hayo mambo ya tabia atanyoka tu, unataka tuoe wabaya eti kisa wanatabia nzuri.. sura kwanza mengine yote utazidishiwa
 
huyo wa kawaida sana broo, isitoshe hiyo ni spam, tumezoea kutumiwa kila kukicha.
Ukitaka kujua/kuona wanawake warembo nenda AMBIANCE CLUB, SUNCIRO, BILLCANAS,LOSVEGAS hapo utamwona huyo computer wako ordinary.
 
naonaa we unatakaa walee wa voda faster
huyo wa kawaida sana broo, isitoshe hiyo ni spam, tumezoea kutumiwa kila kukicha.
Ukitaka kujua/kuona wanawake warembo nenda AMBIANCE CLUB, SUNCIRO, BILLCANAS,LOSVEGAS hapo utamwona huyo computer wako ordinary.
 
Namuwekea tego, ukitembea naye lazima unaswe, hamna kubanduka kifuani

Wengine hawategeki Bujibuji,unakimbilia eneo la tukio unategemea utamkuta kifuani unamkuta wife peke yake akiwa bado mtupu yeye ndio kaganda msela alishaondoka kitambo!
 
Back
Top Bottom