G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,565
- 8,427
Katika mgahawa wa hadhi ya chini kabisa nikiwa nakunywa chai, ameingia mtu mmoja tajiri mkubwa tu wa mashamba na hotel ya kulaza wageni, ameagiza chai na chapati moja, baada ya kumaliza ameagiza maji ya kunywa ya kawaida na yamechotwa kwenye diaba likiwa pembeni yangu la maji ya kisima, akapiga kikombe kizima cha plastiki, akalipa TSH 1000, akasepa.
PESA ni zaidi ya kile tufikiriacho
NB: Pesa inampa mtu amani lakini pia haitatui kila kitu kwenye maisha ya binadamu
PESA ni zaidi ya kile tufikiriacho
NB: Pesa inampa mtu amani lakini pia haitatui kila kitu kwenye maisha ya binadamu