Pesa ni za kwangu ila mie nashikiwa bunduki kisa wewe ni deep state? Haikubaliki

Chawa wa lumumbashi

JF-Expert Member
Nov 19, 2022
793
1,749
Hii kitu hakiwezekani kabisa mimi nakudai billions of money ila unanishikia Bastola eti kisa wewe ni deep state hii kitu hajiwezekani na bila shaka ya muhusika upo humu na unaisoma hii thread kile kitendo ulichonifanyia pale Hyatt regency kunishikia bastola ile jana tayari nimeshashitaki pale kituo cha pili na soon utaitwa tu we si unajikuta deep state? Sasa mie ni mtoto wa mjini nimezaliwa hapa hapa mjini

Yaani bilion of money nimepambana almost 5 year kufanya saving na kufanya baadhi ya investment halafu eti kuna lijinga tu limejitokeza eti kisa yeye ni deep state kwa hiyo anatishia watu bastola wakati unakuja mjini kutoka huko kwenu mkoani mie ndiyo nilikupokea na kukupa maujanja ya mjini mpaka sasa unajiona wewe ni mjanja wa mjini!haiwezekani
 
Huu ni upashkuna. Huwezi kuwa na Million hata moja..

Matajiri wanajulikana hata kwa ongea yao. Wewe una Billions of Stress.
 
Jana umeleta habari za kuoa

Leo unaleta habari za deep state eti Nina fyokofyoko 5B

Alafu ni Billions of money sio Billion of money kama unavyojua hata hela zenyewe hujazoea kuandika

Tutolee propaganda zako wewe unawajua deep state 😏
 
billion of money
0461AA60-6A1F-4A18-A4DA-F32ED6DF3B28.jpeg
 
Back
Top Bottom