Chawa wa lumumbashi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 793
- 1,749
Hii kitu hakiwezekani kabisa mimi nakudai billions of money ila unanishikia Bastola eti kisa wewe ni deep state hii kitu hajiwezekani na bila shaka ya muhusika upo humu na unaisoma hii thread kile kitendo ulichonifanyia pale Hyatt regency kunishikia bastola ile jana tayari nimeshashitaki pale kituo cha pili na soon utaitwa tu we si unajikuta deep state? Sasa mie ni mtoto wa mjini nimezaliwa hapa hapa mjini
Yaani bilion of money nimepambana almost 5 year kufanya saving na kufanya baadhi ya investment halafu eti kuna lijinga tu limejitokeza eti kisa yeye ni deep state kwa hiyo anatishia watu bastola wakati unakuja mjini kutoka huko kwenu mkoani mie ndiyo nilikupokea na kukupa maujanja ya mjini mpaka sasa unajiona wewe ni mjanja wa mjini!haiwezekani
Yaani bilion of money nimepambana almost 5 year kufanya saving na kufanya baadhi ya investment halafu eti kuna lijinga tu limejitokeza eti kisa yeye ni deep state kwa hiyo anatishia watu bastola wakati unakuja mjini kutoka huko kwenu mkoani mie ndiyo nilikupokea na kukupa maujanja ya mjini mpaka sasa unajiona wewe ni mjanja wa mjini!haiwezekani