pesa ni kila kitu, utaifa kwanza

pesa ni kila kitu, utaifa kwanza

incharge

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2011
Posts
5,827
Reaction score
9,764
jamani tuache ushabiki haswa haya maswala ya dini hao waliyowaletea hizo dini hawagombani bali wanagombania maslahi ya mataifa yao, nyie mnachochukiana kisa mna imani tofauti ni nini hasa, ni ulimbukeni unatusumbua, angalia hapa bush alivyokumbatia mkono ,

His words and this image go hand in hand, as if they were frolicking through a flowery meadow 🙂
 

Attachments

  • money.jpg
    money.jpg
    30.8 KB · Views: 43
Yote ni sababu ya CCCCM. Maisha bora kwa kila mdanganyika!
 
Back
Top Bottom