BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,059
- 10,519
Confidence ya kuwa na pesa ndio really confidence zingine ni pretending tu. Money is universal language popote pale unaeleweka.
Unazingua we mtotoConfidence ya kuwa na pesa ndio really confidence zingine ni pretending tu. Money is universal language popote pale unaeleweka.
Kivipi brother mi nimewasilisha mawazo yangu tu kulingana na experience zangu pindi napokuwa na pesa compared nisipokuwa na kitu.Unzngua we mtoto
Kwa kuongezea inakuletea mvuto wa kupendwa kuanzia na machawa mpaka maslay queen aisee pesa itabaki kuwa pesa.Me naamini pesa inakupa uhuru ambapo ndani yake unakua na nguvu ya kufanya maamuzi
Nilikuwa nataka nifungue Uzi wa hivi ila wewe umeniwahi mkuu, nakazia tu.Confidence ya kuwa na pesa ndio really confidence zingine ni pretending tu. Money is universal language popote pale unaeleweka.
Kweli kbsa mkuu.Me naamini pesa inakupa uhuru ambapo ndani yake unakua na nguvu ya kufanya maamuzi
Confidence ya ndani ikikutana na confidence ya pesa inapoteza confidence. Kwa ulimwengu wa Sasa thamani ya pesa inaplay part kubwa kwenye maisha yetu watu wapo tayari kurisk uhai wao Kwa sababu ya moneyNadhani ile confidence ya ndani,ile isiyotegemea kitu ndo inayofaa.Maana pesa ngumu kutosheka nazo,hivyo utajiona Fala pia utakapokutana na wenye zaidi ya wewe na kujiona huna thamani pale unapopata changamoto ya pesa.Na kuwa mlimbukeni unapozipata...
Tutafute pesa,lakini tusizipe thamani kivile kiasi cha kujiona si chochote katika hali ya msoto.
Pesa itabaki kuwa pesa.Niliwahi kusoma mahali flani jamaa kaandika, "TAFUTA PESA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI WAKUTEMBELEE, VINGINEVYO UTATEMBELEWA SIKU YA MAZISHI YAKO"
Basi sawa, kuna wakati huna pesa na confidence inapotea japo unajipa moyo tu!.
Mbona hii falsafa imenipita kidogo if you don't mind nidadavuliwe wengine ni wagumu kuelewa ila tukielewa tunakuwa wagumu kusahauKufanikiwa Kwa mpumbavu ni Kwa maangamizi yake!
Pamoja sana. Tuendeleze mapano.Nilikuwa nataka nifungue Uzi wa hivi ila wewe umeniwahi mkuu, nakazia tu.
Kweli kbsa mkuu.
Sawa mkuu...Confidence ya ndani ikikutana na confidence ya pesa inapoteza confidence. Kwa ulimwengu wa Sasa thamani ya pesa inaplay part kubwa kwenye maisha yetu watu wapo tayari kurisk uhai wao Kwa sababu ya money
Uko sahihi kabisa kwa hili Ndugu na atakayekupinga atakuwa na Matatizo makubwa ya Akili.Confidence ya kuwa na pesa ndio really confidence zingine ni pretending tu. Money is universal language popote pale unaeleweka.