Ni kweli mkuu lakini najiuliza hata kama ni maombolezo lakini si ni mwezi wa kufanya matendo ya huruma na kutubia makosa nilitegemea kuona shamra hizi kwenye vyombo vya habari lakini hali imekua siyo kabisa ni hivi juzi tu nikiwa kijiwe na washkaji ndio nimejua kuna mfungo nikastaajabu mbona hauna shamrashamra hata sokoni kupo kupo tu.
Sent using
Jamii Forums mobile app