Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,905
- 38,555
- Thread starter
- #1,081
Nimefanikiwa.. nasubiri kesho nipeleke pc kwa jamaa ana mabundle yale ya unlimited ya kulipia kila mwezi..Ina hela ya kutosha? Maana dola siku hizi imepanda sana.
Kuna option ya PayPal ila sijajua kama Tanzania ipo.