Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,882
- 38,513
- Thread starter
- #621
U're welcome.
anhaa poa boss asante kwa kunitoa ushamba
anhaa poa boss asante kwa kunitoa ushamba
nishashusha lakini nikiinstall inakataa
Unapata error gani?nishashusha lakini nikiinstall inakataa
napata error hii
Kama umeweka patch iondoe tafuta patch nyingine. Au nenda kwenye site ulikodownload hiyo patch huenda kuna fix.Wakuu nacheza PES 2017 kwenye Pc ina run vizuri tu...Shida yangu nikicheza Master league ina crush baada ya msimu mmoja mwenye kujua namna ya kutatua hio problem atiririke
Sawa mkuu,ngoja nijaribuKama umeweka patch iondoe tafuta patch nyingine. Au nenda kwenye site ulikodownload hiyo patch huenda kuna fix.
Ina gpu ipi.mkuu troublemaker nimetoka kuchukua PC sasa ina qualification hizi naweza kuweka PES 2019??View attachment 1248882
Ina gpu ipi.
Hiyo ndiyo muhimu zaidi kwenye game.
daaah!! umenichanganya mzee baba au ndo maswala ya graphics processor ?
Ina gpu ipi.
Hiyo ndiyo muhimu zaidi kwenye game.
Hayo hayo.
Umenunua shingapi?
Nenda kwenye search pale kwenye windows kisha type "dxdiag" then open (run) maelezo ya kwenye desplay kisha yaweke hapa.
daaah!! PC IPO kwa bus inakuja Ila specification ndo hizo mkuu
Nawez ku connect pad ya ps3 kwenye pc ikawa wireless kama inavocheza kwenye ps3
Ina Intel hd 4000.
Hamna kitu hapo mkuu.
Karibu pes -2017 na fifa -14