Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,009
- 7,309
Upo wapi mkuu mimi naweza kukuhamishia bure tu ni wewe tu na flash yakoMwenye Pes 2017 anipatie
Upo wapi mkuu mimi naweza kukuhamishia bure tu ni wewe tu na flash yakoMwenye Pes 2017 anipatie
8Gb parefu hahahahaha dah.....ulitum8a torrent kuishusha mkuu au ulideal na direct?haya next season patch 2019/2020 hii hapa kwa pes2017
patch size: 8 GB
.PES2017 SmokePatch17
smokepatch mod for PC, created by fans of PES and made available for free to our fans all over the world.www.pessmokepatch.com
ttc 2500 gb 10 au unajiunga gb 10 kwa buku saa 6 usiku8Gb parefu hahahahaha dah.....ulitum8a torrent kuishusha mkuu au ulideal na direct?
ttcl gb 10 kwa 2500 ni mchana mkuu ama lipoje hloo..??ttc 2500 gb 10 au unajiunga gb 10 kwa buku saa 6 usiku
Ipo kwenye part so unaweza kuishusha kidogo kidogo.
Ila me sidhani kama nitahangaika nayo. Nitasubiri tu crack za pes2020 na fifa20
ttcl gb 10 kwa 2500 ni mchana mkuu ama lipoje hloo..??
sidhani.Wakuu hivi kuna uwezekano wa kutumia laptop kama monitor (screen) ya PS 4?
sidhani.
Mkuu ingekuwa kama ni monitor(screen ya desktop) kama monitor sawa inawezekana lkn kwa laptop sidhani mkuu.Kuna mtu kanambia hapa inawezekana kuna waya wa ku convert HDMI into VGA so inawezekana
Crack bado haijatokaefootbool pes 2020 cracked naipata wapi wakuu
Crack bado haijatoka
Fifa 14 kurudi nyuma mkuu.troublemaker mzee baba nina dell latitude e 4310 ram 4 gb , core i5 , 32 bit naweza cheza fifa gani ? ina intel (r) hd graphics tuView attachment 1233183
Fifa 14 kurudi nyuma mkuu.
Shusha 14 si kubwa gb 4 tu.unazo mzee?
Kwenye pc si una partition 2?troublemaker kama local disk c yenye windows imebaki na free space ya gb 1 , si haitafaa kudownload hiyo fifa? au hadi nifanye tena partition niongezee storage kwenye iyo local disk C yenye windows ?
Kwenye pc si una partition 2?
Wakati unataka kushusha iki pop up chagua disk hiyo nyingine yenye nafasi.
Hapana mkuu software unainistall popote hata kwenue external/flash na inasoma fresh tu.yeah ipo mzee, ila sasa hiyo partition iliyojaa ndio yenye windows, sasa hiyo si itazingua game kufunguka hata kama nikiieka kwny partition 2
Hapana mkuu software unainistall popote hata kwenue external/flash na inasoma fresh tu.
Mimi software zingine nachukua kwa watu tayari zimeshakuwa inistall nikifika nafungua tu kwenye external bila shida.