Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,905
- 38,559
- Thread starter
- #421
upo wapi?Hio ni kavu kavu far play
upo wapi?Hio ni kavu kavu far play
Nipo chuon huku tabora, sema nakuja dar around next week nafuata ada kwanzaupo wapi?
mm naomb gta 5 ya pc ndug yanguSimu huna uikonect au njoo nikupe. Kama uko dar.
mm naomb gta 5 ya pc ndug yangu
nitakushukur sana mkuu pande zp upomajuzi tu nimeformat hdd yang bahati mbaya ila nilikuwa nalo.
Ila soon nitalitafta tena nitakujulisha.
Wakuu mwenye fifa 18 for pc na yuko arusha naomba aje inbox tuyajenge ninashida na hili game muda wa kudawnload sina
Asante
Utachakaa mkuu, hujasema upo wapi au online?
Mimi namtaka wa Bingwa wa pes 2017
Msahada tafadhali kwa naejua
habari wana pes and fifa Nime install need for speed 2005 kwajili ya kucheza madogozangu.tatizo niki lifungua kuanza kucheza linaanza kidogo baada ya dakika kaza desktop inazima na kujiwasha msahada kwa anaejua suluisho asante
Amna error na driver zote update
Core 2 duo 1.89 and 1.88. ram 3.5GB hddck space 30gb system window 64 bit window7 v ram 878 hp desktopEmbu leta uwezo wa pc yako hapa.
Processor
Ram
Gpu
Core 2 duo 1.89 and 1.88. ram 3.5GB hddck space 30gb system window 64 bit window7 v ram 878 hp desktop