Younguther
Member
- Mar 8, 2019
- 15
- 14
Naomba kuuliza hiv kuna crack ya fifa 22?
Huwezi mkuu,Habari zenu wakuu
Hivi ipi ni option nzuri kwenda nayo, Desktop kwa ajili ya gaming au PS5
Kama bajeti ya Ps5 ni almost 1.5M, je kwa 1M naweza kuunda desktop itakayotoa experience zaidi ya PS5?
Natanguliza shukrani.
Cc: Chief-Mkwawa
Unacheza, upgrade tu ram yako kwenda 16GB iwe dual chanellJaman kwa specs hiz naweza kucheza fifa 23?
HP elitedesk 705 G5 SFF
AMD RYZEN 5 PRO 3400G
RAM 8GB
SSD 256GB
Processor speed 3.70 Ghz
64 bit operating system
Mwanangu hii Chuma ulivuta Bei ganJaman kwa specs hiz naweza kucheza fifa 23?
HP elitedesk 705 G5 SFF
AMD RYZEN 5 PRO 3400G
RAM 8GB
SSD 256GB
Processor speed 3.70 Ghz
64 bit operating system
Ni game kama Game halina patchHilo pes 21 lina patch ya mwaka gan?
Yaani inabidi uwe mzuri nawe kwenye kuscore vinginevyo utachezea sana..
L1 ndio kuprotect ball. Sasa fikiria huo mpangilio wa vidole vyako...
Sasa muda huo huo ushike R1 sprint. The unatakiwa ufanye tackling kwa x au Box.
Wakati huo huo kuna muda inakiwa ubadilishe pia mkabaji kwa L2
Bila kusahau unapaswa kutumia direction muda huo hup.
Kwenye discussion wengi sana wanalalama wanasema labda uwe na mikono mitatu.
Yaani online unachofanya ni kushindana kuscore na kutumia nafasi. Maana kuzuia ni kipengele
Me ukileta sliding ndio hunipati maana najua kukwepa. Zaidi utakula sana kadi. Ila kukabia njia ndio me kidogo huwa nafanya inasaidia kidogo interception. Pia unafanyà mtu akose apige wapi pasi.Upo sahihi mkuu,most of the time nakabia njia na ku switch players,mambo yakiwa mengi sana sliding tackles zinahusika
Ps5 utakuja umia kwenye kuweka games.. bei itakuwa juu.Habari zenu wakuu
Hivi ipi ni option nzuri kwenda nayo, Desktop kwa ajili ya gaming au PS5
Kama bajeti ya Ps5 ni almost 1.5M, je kwa 1M naweza kuunda desktop itakayotoa experience zaidi ya PS5?
Natanguliza shukrani.
Cc: Chief-Mkwawa
Dili nzuri hii processor tu inauzwa laki 2 nadhani. Yaani processor tu.Ryzen 3600
Inacheza mkuu kwa medium settings me nimecheza ni majuzi tu nilikuwa nacheza kwa pc hiyo hiyo kama yako. Kabla sijapangua mashine. Tena sio fc24 tu na game zote kubwa.Jaman kwa specs hiz naweza kucheza fifa 23?
HP elitedesk 705 G5 SFF
AMD RYZEN 5 PRO 3400G
RAM 8GB
SSD 256GB
Processor speed 3.70 Ghz
64 bit operating system
Me offline sio shida maana natumia tu legacy ila online sasa kuna game zinaisha hadi 6-6, 8-6🙌🤣View attachment 2962638
Mvua ya magoli
Me ukileta sliding ndio hunipati maana najua kukwepa. Zaidi utakula sana kadi. Ila kukabia njia ndio me kidogo huwa nafanya inasaidia kidogo interception. Pia unafanyà mtu akose apige wapi pasi.
Me offline sio shida maana natumia tu legacy ila online sasa kuna game zinaisha hadi 6-6, 8-6