Sasa humu ndani Kila mtu anamjua huyo mwalimu wako?Kwanini si usingeeka na shule aliyokuwa anarundisha.Kama unajua au ulifundishwa na mwalimu (mstaafu) Asia Sufiani na unajua kuwa bado yupo hai na unajua alipo, basi tafadhali nipe contacts zake.,
Kwani kasema kila mtu anamjua!?Sasa humu ndani Kila mtu anamjua huyo mwalimu wako?Kwanini si usingeeka na shule aliyokuwa anarundisha.
Nimemaanisha angeweka detail zake,tuliza komweKwani kasema kila mtu anamjua!?
Upo kishari shari mkuuNimemaanisha angeweka detail zake,tuliza komwe