Performance kati ya Islamic seminary schools and Christian seminary schools....

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,047
21,522
Wakuu,
Kabla ya yote ningependa kutoa rai kwamba uzi huu ni maalum kwaajili ya kujenga hoja na kujadili kuhusu tofauti katika performance ya shule hizi na si kuleta hoja za UDINI. Mimi ni mmoja ya watu wanaoamini kwamba Mungu ni mmoja na dini ni mfumo tu wa maisha.

Kwa Muda mrefu sasa nimekua nikijaribu kufanya comparison ya performance kati ya seminary za kiislam na zile za kikristu ambapo nimegundua kuna tofauti kubwa sana, ukiangalia kuanzia ngazi za olevo mpaka a levo. Swali ni, je nini kinasababisha tofauti hii? Na nini pia kifanyike kupunguza gape hili lakiperformance? Nawasilisha.
 
Perfomance ya Upande gani inaonekana kuwa juu kuliko upande mwingine? Maana naona kama umeogopa kuweka maana yako ili hali bado umetahadharisha mwanzo kwamba no means ya udini.
Sijui itakuwa ni swali chonganishi....other wise u wont see pipossssssss.....
 
Kwa nyakati tofauti nimesoma Islamic na Christian seminary education,Kimsingi nlichokigundua Elimu ni sayansi sio imani,ingawa vinategemeana ila balance ni muhimu sana
 
Islamic seminary haziwezi ku perform kama anayejipa madaraka ya kusimamia uislam tanzania Bakwata yupo hovyo!Bakwata imeshindwa katika mambo ya jamii imejikita zaidi katika siasa hapo unategemea nini??
useme tu hawako serious. christian seminary haziongozwi na dhehebu moja. waislam hampo serious, mtoto mnamjali zadi dini kuliko elimu, niliumia sana jana mtoto wangu amefunga shule wakaleta matokeo yaliyoorodhesha darasa zima, ni watoto karibia mia lakini kati ya wote hao kwa darasa hilo watoto wa waislam hata 10 hawafiki. nilijiuliza sana, kuna tatizo gani? na hiyo ni shule bora kuliko zote kwenye mkoa huo. hawataki kusacrifice pesa mtoto akasome. zaidi ya hiyo, matajiri wakubwa na wengi hapa nchini ni waislam. lakini wanaseza kusapoti kitu chochote kile ila sio elimu.
 
Perfomance ya Upande gani inaonekana kuwa juu kuliko upande mwingine? Maana naona kama umeogopa kuweka maana yako ili hali bado umetahadharisha mwanzo kwamba no means ya udini.
Sijui itakuwa ni swali chonganishi....other wise u wont see pipossssssss.....
Si swali chonganishi mkuu, nimejaribu kureflect uhalisia
 
useme tu hawako serious. christian seminary haziongozwi na dhehebu moja. waislam hampo serious, mtoto mnamjali zadi dini kuliko elimu, niliumia sana jana mtoto wangu amefunga shule wakaleta matokeo yaliyoorodhesha darasa zima, ni watoto karibia mia lakini kati ya wote hao kwa darasa hilo watoto wa waislam hata 10 hawafiki. nilijiuliza sana, kuna tatizo gani? na hiyo ni shule bora kuliko zote kwenye mkoa huo. hawataki kusacrifice pesa mtoto akasome. zaidi ya hiyo, matajiri wakubwa na wengi hapa nchini ni waislam. lakini wanaseza kusapoti kitu chochote kile ila sio elimu.
I see your point mkuu,
 
christian seminary ziko vizuri mno haswa katoliki.zinaendeshwa vizuri maadili.Salama,kazi,masomo,.yani wanafunzi wananyooka sana ,wanafundishwa kujali muda.mpera mpera kama wako jeshini.yani ata ukikuta ndizi imeiva kama ujaruhusiwa ukiichukua tu ,unafukuzwa.lakini huo upande wa pili haipo hivyo
 
christian seminary ziko vizuri mno haswa katoliki.zinaendeshwa vizuri maadili.Salama,kazi,masomo,.yani wanafunzi wananyooka sana ,wanafundishwa kujali muda.mpera mpera kama wako jeshini.yani ata ukikuta ndizi imeiva kama ujaruhusiwa ukiichukua tu ,unafukuzwa.lakini huo upande wa pili haipo hivyo
Kweli kabisa mkuu, mimi walinizingua form 2 pale maua seminary, kosa lenyewe sasa? Nikikumbuka hadi leo nacheka tu.
 
Bila upendeleo christian seminary wako serious. Yaan vijana wanawekwa katika condition ya kuwa na adab na kujali muda wkt wote. Na wanasoma, no utani, ukiwa chini ya wasgani ni nyumbani.

Yaan mtoto akitoka huko kanyooka, yuko ktk maadili safi.
 
Back
Top Bottom