Kijuram
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 513
- 374
Huu ni unyonyaji wa mchana kweupe. Kwa kazi gani watumishi wa uma wanayoifanya hadi walipane hayo mapesa mengi namna hiyo? Halafu bado mnaimba nchi ni maskini wakati kuna hili kundi la wanaotuibia pesa zetu
Hizo pesa wanazolipwa wafanyakazi kama per diem sio nyingi kama unavyozizungumzia. Ukiondoa wafanyakazi wachache sana kutokana na nature ya kazi zao na taasisi wanazozifanyia, waliobaki wengi wanakuwa nje ya mikoa wanayofanyia kazi mara chache sana. Wapo wanaopitisha hata miezi 4 hawajasafiri hata mara 1, na wakisafiri basi itakuwa siku 7 labda. Sasa kama mtu atapata ziada ya Shilingi milioni 1 mara 1 kwa miezi mitatu ndio pesa nyingi hizo?