FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 7,627
- 9,323
Kajidanganye umpeje yaani Everton imnunue pep ndoto izo
Kajidanganye umpeje yaani Everton imnunue pep ndoto izo
Basi ata messi na cr7 ili tuwaone bora waende Aston villa sioKwani huyo Pep toka alipotoka Barca amewahi kuchukua UCL? Ameenda kwa Bavarians kakaa misimu mingapi bila bila, kaenda Man City huu ni msimu wa ngapi ndio anaunusa ubingwa wa UCL!
Sikatai kuwa ni kocha bora sana, huenda the best, lakini angalieni bajeti anayopewa kila anapoenda.
Wewe huna point ata Naby yanga kanunua watuacha kuongea pumba
Anaota uyo mdadaKwa hiyo unataka kuniambia Ancelloti/Mourinho/Fergie wakipewa Southampton kwa bajeti kiduchu kama hii walionayo na wakapewa muda wanaweza beba kikombe cha EPL?
Wewe hujui kumbe Etoo out,toureyaya, na wengine wengiacha kuongea ovyo mkuu. hebu taja hao wachezajoi wapya aliowasajili kusuka kikosi.
Mpe wewe kwenye PS5Hawezi kukuelewa asilani!
Kwanza, hakuna timu aliyowahi kwenda Pep ikiwa haieleweki, anakuta timu imesukwa kwa mud mrefu, yeye anaingia kwenye timu iliyoiva, iliyokuza watu kwa muda mrefu kisha yenye mpunga usiomithilika.
Barca, nikumbushe msimu upi ilikuwa mbovu kabla ya Pep?
Bayern, ameikuta ikiwa moto na akaiacha hoi!
Akakaa mwaka nje ya game akitathmini ipi nyingine ina-team work baada ya watu kuzoeana kwa muda mrefu kisha PESA ya usajili kedekede, huyoooo City.
Jamaa kamtaja Fergie, achilia mbali Fergie, huyo Wenger tu, Pep hawezi vaa viatu vyake!
Mourhinho kabeba UEFA akiwa na kikosi cheap haswa! Analijua hilo?
Pep, apewe Newcastle saa hii tuone, si pesa ipo pale saa hii!
Alipo kuja Chelsea yenye pesa aliipa iyo UEFA?Umesahau Mourinho alibeba ndoo ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE akiwa na timu gani iliyo na hadhi ya Wachezaji wa kawaida sana kimasilahi lakini aliishangaza dunia ndipo akaletwa Chelsea FC na Tajiri Abrahamovich?
Pep kipara bila pesa hana ubora wowote, fatilia mafanikio yake alitembelea klabu zipi haswa na maranyingi anazikutaga ziko on .
Kwangu Ancelloti, Klopp, Mourinho na Conte ni Makocha bora mara 10 zaidi ya Kipara.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Tafuta mwenyewe au weka na dau kapisaAmbatanisha hapa takwimu tangu Mourinho na Pep waanze ukocha tupate uhalisia la sivyo utaonekana Kilaza tu unayekaririshwa hadithi za vijiweni.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Aya soma mdadaAmbatanisha hapa takwimu tangu Mourinho na Pep waanze ukocha tupate uhalisia la sivyo utaonekana Kilaza tu unayekaririshwa hadithi za vijiweni.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Madrid ni mbovu?kitu ambacho unajaribu kukifumbia macho ni kuwa, PEP amespend millions kuwa na timu aliyonayo sasa, anakwenda mwaka msimu wa 7 bado anaitafuta Champion League, Sasa tizama spending ya Carlo toka awe kocha wa Real Madrid na mafanikio aliyoyapata ndio utaona utafauti wao.
Mimi ni shabiki wa man u ila namkubali pepNB: Kwa uzoefu wangu mdogo mashabiki wengi wa Man U hawajawahi kumkubali Pep Guardiola
😄😄 mko wachache mnaoangalia uhalisia ni si ushabiki tuMimi ni shabiki wa man u ila namkubali pep
Watu wanashindwa kuelewa timu inaweza kuwa na wachezaji wenye thamani ndogo ila wenye viwangoKwa hio Porto ni timu ndogo?
Tokea amtikise fergie mikono yake nilijikuta tu namkubali jamaa😄😄 mko wachache mnaoangalia uhalisia ni si ushabiki tu
🤣🤣🤣 Pep sio mtu mzuriTokea amtikise fergie mikono yake nilijikuta tu namkubali jamaa
Unadhani kwanini anapewa bajeti kubwa na timu yoyote anayoendaUmesahau Mourinho alibeba ndoo ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE akiwa na timu gani iliyo na hadhi ya Wachezaji wa kawaida sana kimasilahi lakini aliishangaza dunia ndipo akaletwa Chelsea FC na Tajiri Abrahamovich?
Pep kipara bila pesa hana ubora wowote, fatilia mafanikio yake alitembelea klabu zipi haswa na maranyingi anazikutaga ziko on .
Kwangu Ancelloti, Klopp, Mourinho na Conte ni Makocha bora mara 10 zaidi ya Kipara.
Sent from my CPH2387 using
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kaondoka au kaondolewa?Kaondoka Tottenham ikiwa fainali, mpaka leo haina mwelekeo.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Eg PSGIshu sio Budget sababu zipo timu nyingi zilizotumia fedha nyingi zzaidi ya manchester city lkn bado hazifanyi vizuri, mfano kuna msimu manchester united alitumia pesa nyingi kusajili akina Magure, Sancho nk lkn wako wapi alikazalika chelsea, Nottingham forest
Kwanini hao wengine hawapewi na kwanini apewe PepGuardiola msimu wake wa kwanza City alipewa €216m. Msimu uliofuata akapewa €317m.
Solskjaer msimu wake wa kwanza United alipewa €234m. Msimu uliofuata akapewa €83m.
City wamiliki wake ndani ya misimu 2 ya Pep wali-invest €533m.
Yani budget aliyopewa Pep msimu wake wa 2 (aliobeba ubingwa) ni budget ya misimu 2 aliyopewa Solskjaer.
Msimu wa 3 na wa mwisho kwa Solskjaer kusajili akapewa €142m hata ukijumlisha bado haifikii pesa aliyopewa Pep ktk misimu 2 na ukumbuke Solskjaer alipewa kikosi kibovu zaidi post Ferguson.
Msimu wa 3 Pep alipewa €78m. Ukijumlisha ni €611m. Msimu wa 4 Pep akapewa tena €166m.
Katika misimu 4 Pep katumia €777m. Huo ni wastani wa €194.25 kila msimu, ambayo hiyo pesa inaweza kusajili wachezaji 3 wa €64.75 kwa msimu na ktk 4 seasons ni 12 players. Na baada ya miaka 7 ndiyo tumeona matokeo ya huo uwekezaji, sasa hivi wanaoanza na wanaokaa bench Man City wana uwezo sawa/unaokaribiana.
Kwenye misimu 7 Pep katumia zaidi ya €1.2B
Sasa niambie ni top manager gani Europe akiwekewa huo mzigo kwa misimu 7 mfululizo hawezi kufanya anachokifanya Pep?