FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 7,634
- 9,329
Wewe ni team gani Kwanza kama ni Manchester United tunajua ni team ya mashabiki wasiojua mpiraWe Pimbi fatilia uwepo wa Porto FC miaka ya 2002 ikiwa inacheza fainali za UEFA CHAMPIONS LEAGUE na Man Utd ilikuwa ina Wachezaji gani kiubora na hata malipo ya mishahara yao kisha urudi kunishukuru kukupatia maarifa usiyoyajua ila unakaza tu fuvu lako sababu ya mahaba niue kwa Kiparangoto wako huyo