hwa mahousegirl watatuua mwaka huu..just imagine anaenda na mumeo kupima kabisa ili wajihalalishie...si mama mwenye nyumba atapewa sumu hapo jamani?...huu mwaka hautaisha bila huyo mama kufa nakwambia..Mmmh nahis bado hujakuwa na nia ya kuachana nae. Kitu cha kwanza mpe termination next step kata mawasiliano nae.
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii umeoa?? Naweza data, nikisikia haya makitu kwa hubby! Holly mary of guadalupe, pray for all wives in their matrimonial marriages! Tufiakwa!
daaah ...mkeo yupo around?
Huyo housegirl ni pepo huyo...mfukuze nyumbani kwako ...atakuachia balaa hutokaa usahau...mfukuze haraka
Kul tunda mkuu jivinjari,mtu umlipe mshahara mwenyewe halafu aliwe na waendesha boda boda au walinzi,kula tunda mi mwenyewe kuna kahouse girly kapya wife kakaleta kananivutia lazima nitakachinja soon
una mke?
Wana JF naomba msaada/ushauri. Nimefall in love na house girl wangu (beki tatu), kila nikiweka maazimio ya kuachana nae nashindwa. Na kwasasa nimenogewa hasa. Tumepima na wote ni wazima kiafya. Naombeni ushauri, nitafanyaje ili niweze kuachana nae?
easy easy! Mbona povu hivyo???acha hizo wewe nyie ndio mnaoliwa na mahouse noy na walinzi halafu unakuja hapa unabwabwaja