Nambe
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 1,451
- 528
haika meku
Haiye monowama....
Haiye monowama....
Kwa mtindo huu, Cna budi kumtimua house gel wang!
Kul tunda mkuu jivinjari,mtu umlipe mshahara mwenyewe halafu aliwe na waendesha boda boda au walinzi,kula tunda mi mwenyewe kuna kahouse girly kapya wife kakaleta kananivutia lazima nitakachinja soon
Hahahahaah!! Acha hizo wewe mwisho mtakuja kutafuna hadi binti yako kwa sababu kama hizo unazohalalisha kwa housegirl.Kul tunda mkuu jivinjari,mtu umlipe mshahara mwenyewe halafu aliwe na waendesha boda boda au walinzi,kula tunda mi mwenyewe kuna kahouse girly kapya wife kakaleta kananivutia lazima nitakachinja soon
Wana JF naomba msaada/ushauri. Nimefall in love na house girl wangu (beki tatu), kila nikiweka maazimio ya kuachana nae nashindwa. Na kwasasa nimenogewa hasa. Tumepima na wote ni wazima kiafya. Naombeni ushauri, nitafanyaje ili niweze kuachana nae?
Wana JF naomba msaada/ushauri. Nimefall in love na house girl wangu (beki tatu), kila nikiweka maazimio ya kuachana nae nashindwa. Na kwasasa nimenogewa hasa. Tumepima na wote ni wazima kiafya. Naombeni ushauri, nitafanyaje ili niweze kuachana nae?
single or married ?
Actually ana miaka 20 na kupima ilikuwa ku-ensure usalama wetu. kuhusu kubaka si tunaelewana wajameni
hapo sasa wanaotuua ni waume siyo mahousegirl. wewe unadhani huyo hg alimwambia mume wakapime au mume ndo alimwambia hg wakapime? siku yoyote nitakapomkuta husbanda kafaa kwa hg lawama itakuwa kwa mume, mpaka niprove otherwisehwa mahousegirl watatuua mwaka huu..just imagine anaenda na mumeo kupima kabisa ili wajihalalishie...si mama mwenye nyumba atapewa sumu hapo jamani?...huu mwaka hautaisha bila huyo mama kufa nakwambia..
Kupima afya sio kigezo cha 'kuchovya chovya' hata ma-housegirls....na kupima afya mkajikuta wazima haina maana ndio mtakuwa wazima milele na hizo risky behaviors!
hao ma-beki 3 huwaga ni cha wote kuwa makini sana na afya yako mdau, bado taifa letu ni changa linakuhitaji, usije ua mkeo mkaacha watoto mayatima..yani hao mabek 3 huwaga wa wanapigwa vya fasta huko kwa uchochoro..take care ktk harakati zako za simba muwindaji..haidhuru sana..hiyo kitu kweli ni tamu na kila mtu aitaka, ila adabu kidogo iwepo ktk kuifaudu..teh teh teh..Wana JF naomba msaada/ushauri. Nimefall in love na house girl wangu (beki tatu), kila nikiweka maazimio ya kuachana nae nashindwa. Na kwasasa nimenogewa hasa. Tumepima na wote ni wazima kiafya. Naombeni ushauri, nitafanyaje ili niweze kuachana nae?
Kwa muktadha wa hii hoja huyu bwana atakuwa kaoa tu.......he is avoiding to answer that crucial question.