PENZI LA DADA/KAKA WA DAMU MOJA?

kwani biblia inasemaje katika hilo???
Jibu la mdau,
Ndio ubaya wa story za kutunga....mara nyingi zinaishia hewani pasipo na majibu ya maswali yatakayo ibuka....kama Mungu ndiye aliyeumba watu basi angeumba wanawake na wanaume wakutosha ili wasizalishane ndugu kwa ndugu.....na kama aliruhusu ndugu kuzaliana, kwa nini akataze sasa hivi???
https://www.jamiiforums.com/threads...-hawa-je-wake-zao-ni-kizazi-cha-nani.1116005/
 
Mkuu hii ni story kutoka kwny pilika za maisha tu, mm siwezi abadan asilani kufany dhahama hyo na sio dada wa damu tu hta mdogo au dada wa mke/mpenzi wang siwez kumgegeda wallah tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye mashemeji unatufunga kamba. Shemeji nampeleka moto kama wote. Hata binamu nampelekea moto vilevile. Jamani mtu ambae ni laana ni Dada yako na mama yako tu wengine wote moto unawahusu. Biblia zenyewe zinaonyesha jamaa walivokula watoto wa ndugu zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikosea sana kuwatenganisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwhyo mkuu wewe unaweza kumgegeda ndugu yako wa damu kabisa toka nikutoke? Kabisa unawrka chuma inafumua nyama. Aiseeee!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahhhhh wewe unasema hvokuu, lkn kwng mim aisee ni ngumu sana labda kuwepo na mazingira fln magumu sana yasiyoepukika kiukweli ndio inaweza kutokea nikampelekea moto shemeji yng lkn sio mimi nianzishe kumtaka yey nimpapue hamna mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watakuwa ni wanyama hao....kwanza inawezaje kusimama?
 
Well said lkn pia sio mazingira na sabab za ww kufany hyo yote kwake na kwa mke wako.
Sidhan wewe utafurahia kuskia mdogo wako wa kiume anamtifua mke wako kinomanoma lazma maumivu yako uyapeleke kwa mkeo pindi akisikia kuwa unamtembezea dudu mdogo wake wa kuzaliwa. Ni kisanga jombaa
Hapo kwa mdogo wa mke tengua kauli kwa kuwa anafaa ila inategemeana na mazingira

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
evart

Ndg Mpendwa... Neno hili adhimu ni neno lenye utukufu wa Hali ya juu "Asstaghfirrullah" Yaani ninaOmba msamaha kwa Mwenyezzi Mungu wee ndo msamehevu pekee" mpokeaji Toba ya kweli...
Hili neno hutumika ktk kuepusha madhambi kabla hayajatokea au yanapotoke au yalishatokea !!

Hivo yafikapo kwake (M/Mungu) huwa ni muhali kwake Allah !! Anasamehe kwa Toba uliyotilia mkazo.

Mungu atusamehe jeuri zetu na makosa yetu.. Amin
 
Mimi nawaburuzaga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…