kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 811
hii ndiyo sababu ya kutompa kura mwanaKJ kwani akianzisha issue haimalizi si mnaona mfano ni hii hadithi kwa hiyo akianzisha ujenzi wa barabara huku jimboni hatoisimamia iishe hahahahahahahahahaha huo ni mtizamo tu