Penzi Huchipua kama Uyoga

Penzi Huchipua kama Uyoga

Nafuatilia kwa ukaribu hili sakata. Muda si mrefu nitawachangisha michango ya harusi
Rafiki yangu na mume wake walikutana kwa style kama hiyo yako.
Nao walikua wanakaa compound moja yakaanza ya kupikikiana mara kulala kwa huyu. Kodi zao zilivyoisha wakatafuta nyumba kubwa kidogo waishi wote.
Mpaka sasa ndoa yao ina mwaka mmoja na mtoto wa pili yuko njiani sasa wanaishi kwenye nyumba yao Bunju.

Na wewe mkuu kama umeona kuna dalili njema hapo komaa huwezi jua ndio mkeo Mungu aliekuandalia
 
Jamaa moja kule jamii folamu kataja vitu vitatu
1)HIV mkapime
2)Blood grupu mkapime
3) Akili...
Kama mtaenda episodi inayofuata
Uwe unatupa updates Mkuu. Siku hizi unaamka mwepesiiii ugwadu haukupi shida tena raha tele Mkuu. Usimkorofishe huyo mrembo kama anakula ugali hata usiku basi hana makuu huyo, ila cheki kama hayumo humu asiwe akawa anakuchora
 
Kumbe ivii vistori vipo vingi ...nasubiri cha kimara au mbagara
Ilishatokea kwangu pia...2005 Kinondoni. Ila mimi nilimtoa out jirani yangu. Simple like...vipi twende out basi leo..siyo unakaa kaaa hapa home tu...kweli kaka iMind...basi ngojea nijiandae. Disko huko nikawa najipimia oil tu kama ninavyotaka..tukarudi tukalaa pamoja...ndo ikawa mwanzo. Ila alikuwa na boyfriend wake design...akasema hawezi kumuacha...so tukawa tunaendelea kisela. Akaolewa kaondoka...mara moja moja huwa tunakumbushia hadi leo. At least twice a year.
 
Hamna haja ya kuulizana ayo maswala ya wachumba ...wee fata kilichokuleta
Huo ndio uanaume , baada ya kuacha kuharibu mchumba wa mtu inayokaribia ndoa, uzuri huyo hajakuambia ni mchumba wa Mtu kwa hiyo sio kosa lako Kama na yeye atakuwa na mchumba wake na hakukuambia .....hahahahahaha jokes tum
 
Being in love.... Been there done that...

Nishawahi kuwa kwenye mapenzi kimzaha mzaha ila hatukutaka kuanza ile formal maana ina vikwazo. Tuliishia kuinjoi mahusiano hadi yalipokatika na kuisha, sababu kama hao wakianza tuu mmoja arudishe nyumba ili waishi nyumba moja itaanza nani auze makochi yake nani TV yake ihamie chumbani ya nani ibaki sebleni..... Ndugu zangu wakija mbona unajificha huwakaribishi hunitambulishi kwa wageni wako like kugandana mgongoni.

Life is to live the moment, ila hakuna kitu sikipendi kama kujikuta mahusiano yanakatika sababu ya formalities.....
Umekomaa sana katika mahusiano ..quotes zako zimeenda skongaaaa
 
Nimependa ngeli yako umo ndani ...eti fleek mara bwing daa let enjoy saint
Sijui ni nature au ni nini.....

Yaani kuna mtu unampenda na hutaki kufikiria kumpoteza.... Ila formalities.... Atakuja binamu akwambie huyu nilisoma nae enzi tuko chuo alikuwa anagawa kama pipi, au alikuwa cha pombe tilalila....

Mara atakuja dada yako akwambie.... Huyu ndo mume unayetaka kuishi nae.... Alishawahi kutoka na dada mmoja huyo kaka hi Marioo hatari halafu mchoyo na msiri, anajenga kwao anasomesha ndugu zake wewe anakwambia hana.....

Huwa najiuliza, can't two people fleek and have their own intimacy withoutbwing interfered by relatives and society...?? Unless mtu amtahadharishe ndugu yake au rafiki Kuwa huyo jamaa ana ukichaa flani wanawake wake wote wa nyuma aliwaua bila kukusudia....

Au amwambie huyo mtu sio, anapenda ugomvi for no good reason..... That's another case.
 
Inapendeza sana...

Na mkitaka kuendelea ku enjoy kila mtu akae kwake hivyo hivyo... mkihamie pamoja tu mtachokana...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom