Penzi Huchipua kama Uyoga

Penzi Huchipua kama Uyoga

Niliyeitwa laana, nimefanyika Baraka
Niliyeonekana sifai, umenjheshimisha
Umenipa sababu ya kujidaiii na kukutukuzaa baba umejua kunifurahisha
Mkorea anaimba kibongo tembea uyaone.
Mwezi wa 5 mwakani nitakupeleka fish crab cookouts Kwa Lamar.
 
Niliyeitwa laana, nimefanyika Baraka
Niliyeonekana sifai, umenjheshimisha
Umenipa sababu ya kujidaiii na kukutukuzaa baba umejua kunifurahisha
Oooyyyyooooo 🎶🎶umenijibu kwa wakatiii nisio dhani,.babaa nitakusifu miilelee🎶🎶
 
Mkuu tunasafiria nyota moja kama wewe, uyu dada simu yake iliharibika akaja kwangu kuniazima yangu awasiliane na mtu nikampatia akawasiliana then akanirudishia nikiwa nmeshaanza kupika nkamkaribisha asubiri chakula, akakarbia ndani ghafla akaniambia sio vzr napika nayeye yupo ata kama n mgeni akaomba nimuachie jiko na nkafanya hvyo. Alipomaliza kupika tukala baada ya hapo sijui n nn kilitukumba tukawa kwenye mahaba mazito na ndio ishakua mazoea na hatufatilian kwa lolote mtoto mzuri kweli ad nafikiria niweke usiriaz kwake
 
Daah mzee hii nyota ni balaaa
Mkuu tunasafiria nyota moja kama wewe, uyu dada simu yake iliharibika akaja kwangu kuniazima yangu awasiliane na mtu nikampatia akawasiliana then akanirudishia nikiwa nmeshaanza kupika nkamkaribisha asubiri chakula, akakarbia ndani ghafla akaniambia sio vzr napika nayeye yupo ata kama n mgeni akaomba nimuachie jiko na nkafanya hvyo. Alipomaliza kupika tukala baada ya hapo sijui n nn kilitukumba tukawa kwenye mahaba mazito na ndio ishakua mazoea na hatufatilian kwa lolote mtoto mzuri kweli ad nafikiria niweke usiriaz kwake
 
Sijui ni nature au ni nini.....

Yaani kuna mtu unampenda na hutaki kufikiria kumpoteza.... Ila formalities.... Atakuja binamu akwambie huyu nilisoma nae enzi tuko chuo alikuwa anagawa kama pipi, au alikuwa cha pombe tilalila....

Mara atakuja dada yako akwambie.... Huyu ndo mume unayetaka kuishi nae.... Alishawahi kutoka na dada mmoja huyo kaka hi Marioo hatari halafu mchoyo na msiri, anajenga kwao anasomesha ndugu zake wewe anakwambia hana.....

Huwa najiuliza, can't two people fleek and have their own intimacy withoutbwing interfered by relatives and society...?? Unless mtu amtahadharishe ndugu yake au rafiki Kuwa huyo jamaa ana ukichaa flani wanawake wake wote wa nyuma aliwaua bila kukusudia....

Au amwambie huyo mtu sio, anapenda ugomvi for no good reason..... That's another case.
@kasie kama you like the guy kwann usikilize maneno ya watu wengine?
Nashindwaga elewa why watu wanasikiliza maoni ya wengine! Me nimpaka nimshindwe mwenyewe na sio kwa maneno ya watu!
 
@kasie kama you like the guy kwann usikilize maneno ya watu wengine?
Nashindwaga elewa why watu wanasikiliza maoni ya wengine! Me nimpaka nimshindwe mwenyewe na sio kwa maneno ya watu!


Ni ngumu sana omba isikukute, kuna watu kwenye maisha yako maneno yao yana nguvu unajikuta tuu huyafuati ila ushapata ganzi...
 
Rafiki yangu na mume wake walikutana kwa style kama hiyo yako.
Nao walikua wanakaa compound moja yakaanza ya kupikikiana mara kulala kwa huyu. Kodi zao zilivyoisha wakatafuta nyumba kubwa kidogo waishi wote.
Mpaka sasa ndoa yao ina mwaka mmoja na mtoto wa pili yuko njiani sasa wanaishi kwenye nyumba yao Bunju.

Na wewe mkuu kama umeona kuna dalili njema hapo komaa huwezi jua ndio mkeo Mungu aliekuandalia
 
Back
Top Bottom