Sasa Hidaya utajitoa vipi? We unadhani kuna wa kufanana na wewe kweli? Ujue we siyo wa nchi hii...mm nishajitoa![]()
Sasa Hidaya utajitoa vipi? We unadhani kuna wa kufanana na wewe kweli? Ujue we siyo wa nchi hii...mm nishajitoa![]()
Hayupo bado yupo kazini!...mrembo...bashite wako yupo!??
hapana aisee mm siwezi hayo mamboSasa Hidaya utajitoa vipi? We unadhani kuna wa kufanana na wewe kweli? Ujue we siyo wa nchi hii...
...nahitaji nielekeze majeshi yangu kwako kutoka kwenye rasi ya korea iliyopo kwenye bahari ya japan....!! Accepted ...huh!????????????????Hayupo bado yupo kazini!
Hahahaa!!This time ni hidaya sio Arafa tena
Alafu umechapia penzi badala ya pensi
Malizia bathiiii unakatisha utaaam
Mkuu unamikwala Sana.Bado unaendelea kuzingua? Tutakukamta na kukupeleka kwa nguvu jukwaa la siasa. Ukiweka part 3 nitag mkuu. Naona utamu kunoga
Mkuu unamikwala Sana.Bado unaendelea kuzingua? Tutakukamta na kukupeleka kwa nguvu jukwaa la siasa. Ukiweka part 3 nitag mkuu. Naona utamu kunoga
Hahaha eti bashine ahaha dah mkuu hongera na jion njema..Mkuu unamikwala Sana.
Ndugu yako ni Bashine nini?
Ntakutag
Vipi mkuu naona umekelea Sana wewe ni moja ya wana Kolomije nini?...hahahhahahahaha hahahahahahahahhahahaha hahahaha
Pumbavu Sana!Hahaha eti bashine ahaha dah mkuu hongera na jion njema..
Rejected...nahitaji nielekeze majeshi yangu kwako kutoka kwenye rasi ya korea iliyopo kwenye bahari ya japan....!! Accepted ...huh!????????????????
Huh!!!!!!!!!Rejected
Mkuu ipo mizee inapita humu kuchungulia.Nafurahi sana ninapoona people wanao comment na ku support hii thread kuwa wote ni vijana 20s...
Ole wange ungekubali ndio ungejua pa kukaaa.Rejected
..haha mkuu usikasilike ila ulichapia hapo juu sasa badala ya ku type bashite ww uka type bashine.....i think bibi faizafoxy hajakuona...Pumbavu Sana!
Khaaaa!!
Chuki zimezidi mpaka mtu kuitwa Bashine.
Haya bhana jioni njema.
Hahaha....dah basi .sawa ni vizuri piaaaMkuu ipo mizee inapita humu kuchungulia.
..bahat akoo tuuu nngeku...CIA mpka gna la igRejected
Mjasiriamali mwenzangu, Shunie anagoma hapa..Hahahaa!!
Ahsante mkuu.
Nitaimailizia Mkuu
hapana aisee mm siwezi hayo mambo